hashimrashidy
Senior Member
- Sep 11, 2015
- 197
- 145
Shikamoo... Google wanastahili kukupa award! Binafsi, kwangu ni visitors kwanza na mengine baadae! I hate ads zote zinazosumbua visitors.Duh, bora niendelee na AdSense maana nawaheshimu sana watembeleaji wangu, sitaki kuwapoteza
ok ndugu.. mimi hizo dollar 500$ kwa adsense nilikua nazipata ndani ya siku mbili.. propeller haina disabled na dollar 500$ nazipata within 3 or 4 days.. Ujue niliona site yako imeishia page ya 30 nikajua ni mpya.. but kama hiyo adsense toka 2013 hawajakufungia haina shida...Pia nadhani kama unapiga dollar nyingi ndio unakua kwenye hatari ya kufungiwa.. kuna jamaa nawajua kibao wamefanya clean blogging but bado account zinafungwa.. Adsense nilianza 2010 ila kwa sasa imenishinda kabisa sheria zao zimekua ngumu na wanafunga account bila sababu za msingi..Adsense natumia tangu October 2013, kilamwezi tar 22 natoa mpaka USD 500 juzi niliwauliza kuhusu traffic ya fb wakasema haina shida ngoja nikutumie hizo tweets
Site yasasa ni Mpya nilibadili domain nikahama na platforms ila account ya AdSense ni ile ile mkuuok ndugu.. mimi hizo dollar 500$ kwa adsense nilikua nazipata ndani ya siku mbili.. propeller haina disabled na dollar 500$ nazipata within 3 or 4 days.. Ujue niliona site yako imeishia page ya 30 nikajua ni mpya.. but kama hiyo adsense toka 2013 hawajakufungia haina shida...Pia nadhani kama unapiga dollar nyingi ndio unakua kwenye hatari ya kufungiwa.. kuna jamaa nawajua kibao wamefanya clean blogging but bado account zinafungwa.. Adsense nilianza 2010 ila kwa sasa imenishinda kabisa sheria zao zimekua ngumu na wanafunga account bila sababu za msingi..
Kwa watembeleaji wangu ambao wengi wanatoka bongo nadhani propeller watakuwa wananilipa chini ya dola 5 kwa sikuok ndugu.. mimi hizo dollar 500$ kwa adsense nilikua nazipata ndani ya siku mbili.. propeller haina disabled na dollar 500$ nazipata within 3 or 4 days.. Ujue niliona site yako imeishia page ya 30 nikajua ni mpya.. but kama hiyo adsense toka 2013 hawajakufungia haina shida...Pia nadhani kama unapiga dollar nyingi ndio unakua kwenye hatari ya kufungiwa.. kuna jamaa nawajua kibao wamefanya clean blogging but bado account zinafungwa.. Adsense nilianza 2010 ila kwa sasa imenishinda kabisa sheria zao zimekua ngumu na wanafunga account bila sababu za msingi..
Wewe pesa unapokea kwa njia gani au Western Union ?Kwa watembeleaji wangu ambao wengi wanatoka bongo nadhani propeller watakuwa wananilipa chini ya dola 5 kwa siku
propeller kwa bongo haifai kabisa cpm ni ndogo sana 0.1-0.9 kwa utafiti mdogo niliofanya..Komaa na adsense upepo kwako naona ni mzuri..Kwa watembeleaji wangu ambao wengi wanatoka bongo nadhani propeller watakuwa wananilipa chini ya dola 5 kwa siku
Poa mkuu ila nitakuja inbox kupata siri flani hivipropeller kwa bongo haifai kabisa cpm ni ndogo sana 0.1-0.9 kwa utafiti mdogo niliofanya..Komaa na adsense upepo kwako naona ni mzuri..
Kwa AdSense natumia western unionWewe pesa unapokea kwa njia gani au Western Union ?
Weka linki ya site yako kaka yuione...[emoji15] [emoji15] [emoji15]ok ndugu.. mimi hizo dollar 500$ kwa adsense nilikua nazipata ndani ya siku mbili.. propeller haina disabled na dollar 500$ nazipata within 3 or 4 days.. Ujue niliona site yako imeishia page ya 30 nikajua ni mpya.. but kama hiyo adsense toka 2013 hawajakufungia haina shida...Pia nadhani kama unapiga dollar nyingi ndio unakua kwenye hatari ya kufungiwa.. kuna jamaa nawajua kibao wamefanya clean blogging but bado account zinafungwa.. Adsense nilianza 2010 ila kwa sasa imenishinda kabisa sheria zao zimekua ngumu na wanafunga account bila sababu za msingi..
Weka linki ya site yako kaka tuione...[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hakuna tatizo hapoJamani mimi nina-app inapata viewers 85000-100,000 kwa siku lakini, napata dollar 10-15 kwa siku tatizo nini?
Sioni tatizo hapo jaribu kucheki visitor wako ni wa nchi gani?Jamani mimi nina-app inapata viewers 85000-100,000 kwa siku lakini, napata dollar 10-15 kwa siku tatizo nini?
Visitors wangu ni watanzaniaSioni tatizo hapo jaribu kucheki visitor wako ni wa nchi gani?