Lolimwaaa.
Jamaa ni producer mkubwa sana hapa Tanzania, ametengeneza hit song nyingi sana hasa za wasanii wa kanda ya ziwa.
Yule dogo alieimbaga BASII NEENDA, hit zoote producer alikua Goodluck, nadhan sasa hivi yuko bize na music production.
Jina la uproducer anaitwaga LOLIPOP, katengeneza hit nyingi sana bongo fleva