Goodbye our commander Umkontho

Goodbye our commander Umkontho

Tuko pamoja nao, hilo ni tawi la Marcus garvey. Sisi tuna jishughulisha Na kuunda commons ideology, bridging gapes nakuondoa tofauti zetu, one motto: we are human, we are brothers
Kwa viongozi hawa wa kiafrika mnadhani inaweza kuwa ni changamoto kwenu kushindwa kufanikisha hii movement?
 
Hii thread naiona hivi sasa. Better late than never.

Umkontho is a real hero, she still lives even now. Kama hamuamini nendeni mkasome content zake. If they wont change your view on viewing black peoples' origin,then your are a useless man.
Ataishi milele kwakua aliyoyapigania ni ukweli wote, na ukweli hujitetea wenyewe hata kama unaumiza.
Rest in power ,our beloved hero.
Tuwekee link
 
tukutumie tiketi,ukaitembelee familia yake Botswana?
Huyo marehemu kama ana familia basi ni members tu wa JF na si vinginevyo,maana kiuhalisia sidhani kama kuliwahi kuwepo mtu wa aina hiyo.

Sasa unaonaje unitumie hiyo tiketi ili nionane na wewe?
 
Huyo marehemu kama ana familia basi ni members tu wa JF na si vinginevyo,maana kiuhalisia sidhani kama kuliwahi kuwepo mtu wa aina hiyo.

Sasa unaonaje unitumie hiyo tiketi ili nionane na wewe?
Ndugu, na familia yake,ni wengi mno duniani, wote wapenda haki, na ukombozi wa mtu,mweusi
Kuhusu ticketi, usijali, tutakuja sisi, kukuona wewe
 
Back
Top Bottom