englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,208















Jamani tatizo huku picha hazifunguki,Mod jitahidini bas kurekebisha,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,![]()
![]()
47. Si mzee, wadhungu huwa wanakongoroka mapema si kama sie waswahili utakuta mtu ana miaka 50 lkn ukimcheki utadhani ana miaka 30.aisee celin amekuwa bibi kabisa,,hv ana umri gan?
Wazungu wanakongoroka mapema kuliko waswahili? Nadhani umejibu ili uendane na swali alilouliza jamaa hapo juu. Ukweli na uhalisia ni kuwa waswahili tunakongoroka mapema.47. Si mzee, wadhungu huwa wanakongoroka mapema si kama sie waswahili utakuta mtu ana miaka 50 lkn ukimcheki utadhani ana miaka 30.
Huyu nadhani ametumia sana madawa ya kulevya pia!Wazungu wanakongoroka mapema kuliko waswahili? Nadhani umejibu ili uendane na swali alilouliza jamaa hapo juu. Ukweli na uhalisia ni kuwa waswahili tunakongoroka mapema.
Huyu ni CELINE siyo WHITNEYHuyu nadhani ametumia sana madawa ya kulevya pia!
Nami namaanisha huyuhuyu CelineHuyu ni CELINE siyo WHITNEY
Nami namaanisha huyuhuyu Celine
Mkuu Celine ni mtumiaji mzuri tu wa mihadarati cku hizi, fuatilia recent taarifa zake uone!hapana siyo madawa ni kwa sababu ya maumivu ..... kufiwa na mtu unayempenda alafu fahamu pia amefiwa na kaka yake
Tatizo ni kwamba,kipato kinakuwa kimeondoka.She is stong. Angekuwa ni mwanamke wa kiafrika hasa wa kitanzania...ni kulia, kujigaragaza na kuzimia
teh teh mkuu unajua kupointTatizo ni kwamba,kipato kinakuwa kimeondoka.
Wale wanajigaragaza kwa kiwa wengi ni ma goalkeepers, hawajui kifuatacho,lakini lwa hao no kwamba kila mmoja mfuko umenonaShe is stong. Angekuwa ni mwanamke wa kiafrika hasa wa kitanzania...ni kulia, kujigaragaza na kuzimia