American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 890
- 1,500
Unapotuambia mauzito yako unataka sisi tufanyeje?Ilaa
Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kg๐ค๐ค
Sikuizi napambana walau nipungue nifike Tu 70kg (ndio imekuwa my dream weight ๐ฅบ๐ฅบ).. Yaani nacheza kwenye 86, 87 nikizubaa kidogo Tu 90 hii Hapa ๐ฉ๐ฉ
Kuna kipindi nilijipangia ratiba nzuri Tu nikawa nafanya mazoezi kila siku, baadhi ya vyakula nikaacha na fasting siku2 kila wiki,. Ila ukipima unakuta ndio Kwanza umeongezeka kila Mbili au tatu badala ya kupungua... I gave up
Kuna nguo zangu nilikua navaa zamani saizi naziangalia Tu nabaki kutikisa kichwa kwa huzuni,.
Watu sasa wakianza kukwambia "umenenepaaaa" hata kujipost nowadays naogopa ikibidi sana napost pictures za zamani kwasabu watu lazima wanotice and I can't take it as a compliment ๐ญ๐ญ
๐๐๐
Sina niliyefanana nae mjukuu!Ndio Maana ukabarikiwa wa kufanana naye mzee wanguโบ๏ธ
Ko unataka kusema bibi naye anapiga vitu? Au bado huko kwa side kick๐Sina niliyefanana nae mjukuu!
Side chick ni kitu gani mjukuu? Bibi yako hawezi kupiga vitu nikawa nae asee!Ko unataka kusema bibi naye anapiga vitu? Au bado huko kwa side kick๐
Yani nimeandika side kick, ukatafsiri ni side chick, unanipima we mzee ๐Side chick ni kitu gani mjukuu? Bibi yako hawezi kupiga vitu nikawa nae asee!
Siku zote najua wewe na Espy_ ndio mfanano wangu, nikiwaona nyie najiona kabisa!๐Yani nimeandika side kick, ukatafsiri ni side chick, unanipima we mzee ๐
Hee kwanini sasa? Anaweka kwa tumbo yako?๐ basi kama hapigi huyo ndio unayefanana naye babu.
Ngoja aje mke mkubwa tuone kama unayoyasema yana ukweli wowote๐Siku zote najua wewe na Espy_ ndio mfanano wangu, nikiwaona nyie najiona kabisa!๐
Hahaha, jana kasema mimi na yeye tuna urafiki wa damu hatuwezi kugusana hata tukiachwa wawili duniani๐Ngoja aje mke mkubwa tuone kama unayoyasema yana ukweli wowote๐
Kwahiyo hili goma lake anamuwachia nani sasa๐๐ฝโโ๏ธHahaha, jana kasema mimi na yeye tuna urafiki wa damu hatuwezi kugusana hata tukiachwa wawili duniani๐
Wewe, ulibebe hadi likushinde!!Kwahiyo hili goma lake anamuwachia nani sasa๐๐ฝโโ๏ธ
Anatupanga tu huyu mzee, usimsikilize.Ngoja aje mke mkubwa tuone kama unayoyasema yana ukweli wowote๐
Simsikilizi kwanza nshamuacha huko ndani sirudi atajijua mwneyewe ๐๐ฝ๐คธ๐ฝโโ๏ธAnatupanga tu huyu mzee, usimsikilize.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃSimsikilizi kwanza nshamuacha huko ndani sirudi atajijua mwneyewe ๐๐ฝ๐คธ๐ฝโโ๏ธ