Kwenye maku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwamba wanaleta U gentle mpaka wapi???
We umejikubali kama Mimi Tu,Mimi ni Mpole na ugomvi siuwezi,nikijilazimisha najikuta naumia moyo Tu,ukinizingua napita kushoto maisha yanaendelea!!Ye aruke anavyoruka awakubali anaowakubali siku akinipa nairarua na maisha yanaendelea but kubadilika na kuwa rude hiyo ilishanishinda mi ni nice guy na yes inanicost but this is me and I have accepted my personality
Binafsi nimekuja kugundua baadae sana kuwa kumbe nilikuwa hivyo tangu udogoni hasa tukipiga story na watu wa primary Kuna wema mtu anakukumbusha hata mwenyewe nimesahau siwezi kuwa rude neverWe umejikubali kama Mimi Tu,Mimi ni Mpole na ugomvi siuwezi,nikijilazimisha najikuta naumia moyo Tu,ukinizingua napita kushoto maisha yanaendelea!!
Me ni nice guy tena Ile shy guy kabisa design Fulani silent killerYe aruke anavyoruka awakubali anaowakubali siku akinipa nairarua na maisha yanaendelea but kubadilika na kuwa rude hiyo ilishanishinda mi ni nice guy na yes inanicost but this is me and I have accepted my personality
Hiyo hailazwi dam ndio maana nasema ye aruke anavyojua ila karata yangu huwa naipushi very slow akijaa napiga tena kiupendo kabisa na maua yake Nampa na ka 10 bucks namuachia na kivics nampakia freshMe ni nice guy tena Ile shy guy kabisa design Fulani silent killer
But kwenye maku silazi damu Aisee
Mimi Huwa nasikia Amani Sana nikimfanyia mtu wema,na mtu akinifanyia wema kidogo Huwa namlipa mara mbili ya alivyonitendea! Na toka nilivyojijua siwezi ugomvi,najitenga mbali na wagomvi,nikinusa Tu harufu ya ubaya nakaa mbali!!Binafsi nimekuja kugundua baadae sana kuwa kumbe nilikuwa hivyo tangu udogoni hasa tukipiga story na watu wa primary Kuna wema mtu anakukumbusha hata mwenyewe nimesahau siwezi kuwa rude never
Kwa hiyo vix Sio dawa ya mafua tena?Hiyo hailazwi dam ndio maana nasema ye aruke anavyojua ila karata yangu huwa naipushi very slow akijaa napiga tena kiupendo kabisa na maua yake Nampa na ka 10 bucks namuachia na kivics nampakia fresh
Ina majukumu mengineKwa hiyo vix Sio dawa ya mafua tena?
Tena kwenye kulana ndio kuwa bad boy kweli kweli, mara umemuinamisha nyama ya gari, umechapata tako mara unajidai umekosea njia unapenya rough road basi wee ni kumpelekea moto tuu ata kama kibamia kinaishia kwa mapajaYaani tena usithubutu kabisa don't be nice
Wanawake wanapenda Ujinga Ujinga + masihara utani Kwa sana ndio unaweza kuwapatia Ukiwa serious sana mtu wa Imani Kwa sana unaleta u-gentle mpaka ktk kukulana itakula kwako
Safi sana ubarikiwe mkuu binadam wanapitia mengi sana ukiweza kumtendea mtu wema unakuwa umempa siku nzuri sana na tiba nzuriMimi Huwa nasikia Amani Sana nikimfanyia mtu wema,na mtu akinifanyia wema kidogo Huwa namlipa mara mbili ya alivyonitendea! Na toka nilivyojijua siwezi ugomvi,najitenga mbali na wagomvi,nikinusa Tu harufu ya ubaya nakaa mbali!!
Amina mkuu,barikiwa pia!Safi sana ubarikiwe mkuu binadam wanapitia mengi sana ukiweza kumtendea mtu wema unakuwa umempa siku nzuri sana na tiba nzuri
Wamwisho kivipi?Kama hauijui haina makombo....Ila kama mmeifuatilia wengi ila wewe ukawa wa mwisho kuipata....hapo kuna tatizo.