Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,192
Huu ndio ukweli halisi wa maisha hasa kwenye mahusiano. Good or nice guys are too kind, considerate, understanding, calm, not aggressive and cooperative.
Mfano hapa JF watabaki kulike na kutaniana na mrembo wanaemwelewa ila kuzama pm au ku-make move ya kukutana au kupewa namba wanachelewa. Wanawake hawahitaji mtu mstaarabu, mwelewa elewa au wabaridi. Wanahitaji mtu anayeweza kubreak rules.
That's why wahenga wakasema Nice guys finish last. Utasubiria akuambia chukua wakati wenzako wanajitafunia....akija kukubalia ameshaachana na wengine huko. Kashachoka.
Don't be a nice guy la sivyo utaachiwa makombo.
Mfano hapa JF watabaki kulike na kutaniana na mrembo wanaemwelewa ila kuzama pm au ku-make move ya kukutana au kupewa namba wanachelewa. Wanawake hawahitaji mtu mstaarabu, mwelewa elewa au wabaridi. Wanahitaji mtu anayeweza kubreak rules.
That's why wahenga wakasema Nice guys finish last. Utasubiria akuambia chukua wakati wenzako wanajitafunia....akija kukubalia ameshaachana na wengine huko. Kashachoka.
Don't be a nice guy la sivyo utaachiwa makombo.