Tuwache uongo mziki kimziki diamond kafanikiwa hiv uliwahi kutegemea siku moja msanii wa Kitanzania atamiliki hotel?Kila mtu akitoa maona tofauti basi misukule ya domo inasema ni wivu,hivi nimuonee wivu domo kwa lipi? Hivi tz nzima ni yeye ndio aliyetoka zero? Mbona kuna Mabilionea wengi sana wana mpunga wa hatari na wameanzia sifuri na wala hatujawahi kuwasema? msilazimishe msanii wenu akubalike na watu wote!! Kuna wengine sio wapenzi wa muziki wake wa BENIBATI au MNANDA.