Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Kweli ambaye amepewa kapewa tuu, na huu msemo umejidhihirisha mbele yaDiamond Platinumz kuwa ndo msanii ana yejituma kwa bidii zote kuliko msanii yeyote hapa bongo.
Pia ndo msanii ambaye anamiliki TV na radio Africa nzima pekeake.
Pia ndo msanii ambaye Tv na radio yake kwa Mara ya kwanza vitakuwa vinapatikana kwenye miliki yake, na sio kama radiona Tv Kama clouds, efm na nyingine zinazotegemea leasing area ili kuoperate.
HAIL TO DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T
Pia ndo msanii ambaye anamiliki TV na radio Africa nzima pekeake.
Pia ndo msanii ambaye Tv na radio yake kwa Mara ya kwanza vitakuwa vinapatikana kwenye miliki yake, na sio kama radiona Tv Kama clouds, efm na nyingine zinazotegemea leasing area ili kuoperate.
HAIL TO DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T