GOOD NEWS! and WARNING to Voda free internet proxy hack

sijaribu hii ki2 lakn ngojea
nchangie tu! cha kvfanya inabidi ui
ping 0.facebook.com but thats not
the solution caz italeta facebook ya
kawaida (www.facebook.com}
msiwe wavivu itabidi mu iping mpaka kieleweke ili ilete
0.facebook.com ITS POSSIBLE BUT
INAHITAJ MDA NA RESEARCH
NYINGI
 
sijaribu hii ki2 lakn ngojea nchangie tu! cha kvfanya inabidi ui ping 0.facebook.com but thats not the solution caz italeta facebook ya kawaida (www.facebook.com} msiwe wavivu itabidi mu iping mpaka kieleweke ili ilete 0.facebook.com ITS POSSIBLE BUT INAHITAJ MDA NA RESEARCH NYINGI

hata 0.facebook haifanyi kazi na hii ndo wameidisable
 
nipe details zaidi kwa hiyo unachomaanisha ni kwamba hata 0.facebok.com yenyewe kama yenyewe haingi au vp lkn nakumbuka mda flan ilikuwa inaingia ukitoa mautundu
 
nipe details zaidi kwa hiyo unachomaanisha ni kwamba hata 0.facebok.com yenyewe kama yenyewe haingi au vp lkn nakumbuka mda flan ilikuwa inaingia ukitoa mautundu

Mchana ilikuwa inafanya kazi but jioni haipigi mzigo...balaa duniani!
 
Nkajua me mwenyewe..wacha nianze pm kina lunya! Duh
najua maujanja yatakuja tu..wameshatutafuna sana awa mafisad,atlst kwa hili tupunguze stress.ila muhim wataalam we2,dnt trust any1,espcl ''oh pm me,npe ur#,tumeet,nk "
 
wakuu, ukiwa munasema na kunadi kuwa "kuna uchochoro mwengine", unadhani wenyewe ndio watukuwa hawajui free pages zao. ?? bila shaka wao wanakujua unakusudia nini. na utapoweka ip ya huwo uchochoro, unadhani wao ndio hawawezi kujua ip reverse lookup? kwa ufupi tunatakiwa tuwe kimyaaaaaaa. au more than kimya. na zantel nao wameshaanza kublock baadhi ya lain. hazi connect zikiwa hazina hela. soon itakuwa hakuna free tena. mitandao yote itabanwa. keeeeeep the silence!!!!
 
Yaani nilijua itafikia hapo kwasababu mtu akisikia kuna proxy za voda na maujanja yake badala ya ku search forum yeye anaanzisha forum tena ya kuuliza proxy we angalia kuna forum ngapi za voda za proxy hata voda nao wanaona hawa wamezidi matangazo meengi lazima wabane 2
 
wakuu, ukiwa munasema na kunadi kuwa "kuna uchochoro mwengine", unadhani wenyewe ndio watukuwa hawajui free pages zao. ?? bila shaka wao wanakujua unakusudia nini. na utapoweka ip ya huwo uchochoro, unadhani wao ndio hawawezi kujua ip reverse lookup? kwa ufupi tunatakiwa tuwe kimyaaaaaaa. au more than kimya. na zantel nao wameshaanza kublock baadhi ya lain. hazi connect zikiwa hazina hela. soon itakuwa hakuna free tena. mitandao yote itabanwa. keeeeeep the silence!!!!

uzuri vyanzo vyatoka kwao..mbongo mbongo tu
 
Dah guys kwisha habari kabisa zote zmeblokiwa upenyo uliobakiwa ambayo ilikuwa ni
mini.vodafone.com
nayo imeblokiwa, wametuweza kwl, Basi huu ndo ule muda wa kusema forget all and move on.
Its so sad but thats it.
 
Dah guys kwisha habari kabisa zote zmeblokiwa upenyo uliobakiwa ambayo ilikuwa ni
mini.vodafone.com
nayo imeblokiwa, wametuweza kwl, Basi huu ndo ule muda wa kusema forget all and move on.
Its so sad but thats it.
No way mkuu
 
Dah guys kwisha habari kabisa zote zmeblokiwa upenyo uliobakiwa ambayo ilikuwa ni
mini.vodafone.com
nayo imeblokiwa, wametuweza kwl, Basi huu ndo ule muda wa kusema forget all and move on.
Its so sad but thats it.

DO SOMETHING!!! u and all proxy wizards!! M so going to detonate a bomb at vodashop!!! Lol!! How can I pay for internet again asee!! Du mazoea mabaya!!
 
dah guys kwisha habari kabisa zote zmeblokiwa upenyo uliobakiwa ambayo ilikuwa ni
mini.vodafone.com
nayo imeblokiwa, wametuweza kwl, basi huu ndo ule muda wa kusema forget all and move on.
Its so sad but thats it.


mwana ka delete zile uzi wa zntl maana wata block na zile enough now we kama mtu hujasoma mpaka saa hizi watu tusha save namba ya jamaa wa malipo plsssssssssssssssssssssssss
 
mwana ka delete zile uzi wa zntl maana wata block na zile enough now we kama mtu hujasoma mpaka saa hizi watu tusha save namba ya jamaa wa malipo plsssssssssssssssssssssssss

Duh ilo nale neno.. consider it Done!
 
Tangu jana nilikuwa nautafakari msiba huu, but eventually ninaishia kusema:
"Proxy, sisi tulikupenda sana ila Voda wamekupenda zaidi".
 
msiba huu tungefunga bendera nusu mlingoti!

ngoja nimigie IT msaidizi wa VODACOM nimnpongeze kwani alinionya kuwa wangefunga hivi karibuni nikabisha
 
cha kvfanya n rahic inabidi ui ping 0.facebook.com but thats not the solution caz italeta facebook ya kawaida (www.facebook.com} msiwe wavivu itabidi mu iping mpaka kieleweke ili ilete 0.facebook.com

Ping is loading....35%..
 
Back
Top Bottom