Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Chadema uelewa wenu ni mdogo sana. CAG huwa anaibua audit queries ambazo huhitaji kupatiwa majibu. Kama zikipata majibu hamna tatizo. Ndio maana mnag'ag'ania tril 1.5 wakati ilishapatiwa majibu na PAC. Sio kila hoja ya CAG ni ufisadi.Kwani saa hizi ziko salama? Rejea audit reports za CAG for 5 yrs.Unajua lengo la kuzuia Uhuru wa habari,miradi isiyo tija kiuchumi,kutaka kuuwa upinzani ili taarifa za wizi wa Kodi zao zisisikike