Safi sana, siju kwa nini wamechelewa kuzipa hizo port mda wote huo... Tatizo la watanzania wengi ni vilaza mno, mnapata bahati ya kupata upenyo kama huo badala ya kula kimya kimya mnawatangazia watu oooh ukitaka net ya bure ni check PM na wengine waligeuza kuwa ndio biashara haya sasa kuleni Ma.sa.bu,ri Yenu.