Gombe National park hits in Hardtalk

Tatizo wanga sana na asili ya mtanzania hakuna wachawi. Ndio maana tunasema wakigoma sio watanzania kwasababu ya uchawi wao
 
Kasulu hoyee?? Una maanisha nini,kwamba gombe ipo kasulu?
 
Hao sokwe wamekufa? Na je wanamjua huyo mbibi?
 
Huyu nae ataitwa Beberu na anaowapandaga
 
Tatizo wanga sana na asili ya mtanzania hakuna wachawi. Ndio maana tunasema wakigoma sio watanzania kwasababu ya uchawi wao


Watu wa kigoma wamekulogea Bibi yako???, Sumbawanga, Gambushi na huko Mwanza, Mara nk wanakoua Vikongwe kwa sababu za uchawi ni Kigoma???--- umepata kusikia Mtu kauawa kwa Mapanga kigoma kwasababu ya Uchawi??, umepata kusikia Albino kauawa au kakatwa viungo huko Kigoma???. Wachawi ni nyinyi mwaisingizia Kigoma.

Muwe wakweli, mmezidi kuidhulumu Kigoma bila sababu.
 
Usafiri Lazima Upite Kwenye Maji
Uwe Na Pumzi Kupanda Vilima Ili Uwaone Sokwe
 
Ukiangalia hata sumbawanga wachawi wengi asiliyao kigoma. Hata ukija bagamoyo ni wenyeasili ya kigoma ndio wanga sasa wameanza isambaza uchawiwao hadi mara na sehem nyingine za Tanzania.
 
Ukiangalia hata sumbawanga wachawi wengi asiliyao kigoma. Hata ukija bagamoyo ni wenyeasili ya kigoma ndio wanga sasa wameanza isambaza uchawiwao hadi mara na sehem nyingine za Tanzania.
Nimekaa Kasulu Miaka Tele Hayo Mengine Chumvi
 
Huyu mama alifall in love na Chimp's tokea alivyokuja Gombe kwa mara ya kwanza 1960.Since then kafanya sana utafiti na anawatunza sana .Na chimps wanamjua sana.
Hongera Jane kwa kututunzia sokwe wetu,la sivyo wangesha extinct .
 
Ukiangalia hata sumbawanga wachawi wengi asiliyao kigoma. Hata ukija bagamoyo ni wenyeasili ya kigoma ndio wanga sasa wameanza isambaza uchawiwao hadi mara na sehem nyingine za Tanzania.


Wewe umejuaje hayo yote!!???-- bila shaka na wewe umo kwenye uchawi.

Walonga Bazungu: "Birds of the same feathers flock together.
 
Waha kwa kimbelele Kigoma mpo peke yenu? ikitajwa Kigoma tu utasikia Waha hivi waha vile


Najua imekuuma sana ewe mmanyema wa Ujiji kusikia waha wakitajwa. Pole sana.🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…