johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,528
Kila nikimsoma Daudi alivyodharaulika lakini Akaja kuliokoa taifa lake na Uonezi wa Goliath najikuta nauheshimu Upako wa Mungu wa mbinguni
Daudi alikuwa na kombeo.( Manati) tu
Naangalia mzozo wa kiongozi wa nchi Jirani na Kanisa,. nimeogopa sana
Credit: Citizen tv
Mlale Unono 😀
Daudi alikuwa na kombeo.( Manati) tu
Naangalia mzozo wa kiongozi wa nchi Jirani na Kanisa,. nimeogopa sana
Credit: Citizen tv
Mlale Unono 😀