Mwanakijiji una vijembe ndugu yangu ha ha!Yani ngoma iwekwe kati,saafi sana nimeikubali,halafu inarelate sana na wabongo na hivyo message sent,bao ni bao tu,hata la kisigino,refarii kwa heshima na taadhima anaelekeza ngoma kati!sikujua unapenda soka neways,coz sijawahi kukuona kwenye jukwaa la michezo......Chandimu uliupiga mkuu?Ha ha!