Godoro Dodoma linauzwa bei chee

Godoro Dodoma linauzwa bei chee

Kv-london

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
2,893
Reaction score
5,076
Nauza godoro dodoma feet 5x6 lime2mika wik2 bei 100,000 pia ukitaka magodoro mapya kabisa ya feet zote mfano feet 2.5,3,3.5,4,4.5,5na 6 pia godoro nchi 10 na 12 yanaptikan-nipo mwananyamala DaR
 
Nauza godoro dodoma feet 5x6 lime2mika wik2 bei 100,000 pia ukitaka magodoro mapya kabisa ya feet zote mfano feet 2.5,3,3.5,4,4.5,5na 6 pia godoro nchi 10 na 12 yanaptikan-nipo mwananyamala Dar 0764616353

Nipe bei ya Godoro jipya 6x6 na bei ya 5x6
Kama bei ziko poa nakuletea wateja fasta hapo ni wanafunzi wa chuo
 
kaka yapo hata ya elfu 60,inategemea quality,unene,brand au hata kwamba ni used au jipya.? Usiwe mwepesi wa kumwambia jamaa kaiba.
 
Nauza godoro dodoma feet 5x6 lime2mika wik2 bei 100,000 pia ukitaka magodoro mapya kabisa ya feet zote mfano feet 2.5,3,3.5,4,4.5,5na 6 pia godoro nchi 10 na 12 yanaptikan-nipo mwananyamala DaR

mkuu nalitaka hilo godoro kwa 80 nipo dodoma gharama za usafiri kwangu wewe ufikishe tu ubungo, upo tiyari nipm namba yako
 
Sasa braza mm nimetoka kununua godoro la chumba cha wagen dodoma 5 kwa 6 sh 110000 nchi sita tena jipya mbona lako ghali sana
 
Kila mtu atasifia chake akuna mtu anyeweza kumponda mke wangu humu mfano mm nilinunua godoro la comfy la nchi 10 kila nikiamka asubuhi najikuta nimechpla bila sababu nikafanya maamuzi jana nilanunua godoro dodoma nchi sita naona leo nimeamka kama nipo poa poa nasikilizia hari ikiwa tete naenda nunua la spring mpaka nimpate mchawi wangu ila kila mtu na chagua lake bwana
 
Hakika hayajui vizuri hayo magodoro.

Kweli kabisa.. Mm godoro dodoma nnalotumia nmenunua mwaka 2009 5 kwa 6 inch 8 ni burudani na mpaka leo lipo kama jipya.. Wakati godoro nlokuwa nalo before nlitumia miaka miwili lakawa linakunjika kama mkeka
 
Kweli kabisa.. Mm godoro dodoma nnalotumia nmenunua mwaka 2009 5 kwa 6 inch 8 ni burudani na mpaka leo lipo kama jipya.. Wakati godoro nlokuwa nalo before nlitumia miaka miwili lakawa linakunjika kama mkeka

2009 mbona juzi sana, magodoro dodoma mengi yanayotumiwa na watu wengi yana miaka almost 20 na zaidi na bado yapo poa, ila haya ya sasa naona si imara kama ya zamani, ila kwa wazalishaji wa magodoro bora basi magodoro dodoma ni namba moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom