DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari Polisi, wamemkamata Mwenyekiti wa Chadema kanda ya kaskazini, Wakili Samwel Welwel maeneo ya Kibaoni Arusha, akiwa anaelekea kijijini kwao Karatu. Amepelekwa kituo cha polisi Karatu na taarifa awali zinaeleza kuwa polisi wanamhoji kwa sababu "wanahisi" anataka kutoroka nchini. Viongozi wa Chadema wanafuatilia suala hilo kwa karibu ili haki iweze kutendeka.!
Pia Soma: Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kaskazini: Nitawashughulikia wote wasiomkubali Lissu
Pia Soma: Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kaskazini: Nitawashughulikia wote wasiomkubali Lissu