Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 6,288
- 5,219
Vijana wa Lyatonga Mrema Walioanzia Siasa Nccr Mageuzi, TLP wengi sio wa Kuwaamini.
Mzee Mrema alikua mbobezi sana kwenye Kuandaa miamvuli, Vipanya ndani ya Vyama vya siasa.
Wenye akili wamenielewa.
Nccr , TLP, iliwazaa akina Mabere Marando , Godii Lema, Mch Msigwa ( karudi kazini), Josee Selasini, James Mbatia nk.
Wengi wao ni wale wale tu.
miaka 2010-2020 Ccm ilifanikiwa Kupandikiza Viongozi Ndani ya Bavicha Mwenyeviti 2 , Makatibu 2, Naibu 1 wengi wao ni project.
Vyama vya Project Tanzania ni vyote utofauti ni muda na nyakati tu za Utawala.
Gm- Summy Russia.
Mzee Mrema alikua mbobezi sana kwenye Kuandaa miamvuli, Vipanya ndani ya Vyama vya siasa.
Wenye akili wamenielewa.
Nccr , TLP, iliwazaa akina Mabere Marando , Godii Lema, Mch Msigwa ( karudi kazini), Josee Selasini, James Mbatia nk.
Wengi wao ni wale wale tu.
miaka 2010-2020 Ccm ilifanikiwa Kupandikiza Viongozi Ndani ya Bavicha Mwenyeviti 2 , Makatibu 2, Naibu 1 wengi wao ni project.
Vyama vya Project Tanzania ni vyote utofauti ni muda na nyakati tu za Utawala.
Gm- Summy Russia.