Tanzania kiongozi aliyeko madarakani sasa hajawahi kukekemea uovu wakati wao wakiwa na madaraka ya juu, Escrow alikwepo Bungeni alikuwa kimya, EPA alikwepo kimya, Richmond alikwepo mle mjengoni kimya! Sasa leo wakimkemea atawakumbusha tu historia wakati wao wakiwa viongozi wa juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.