Mkuu hawana ofisi wanayomiliki, nyingi wamepewa msaada na kupanga. Ikiwa makao makuu ni kama 'kibanda umiza' itakuaje huko mikoani?
Kuhusu ripoti za matumizi ya ruzuku mie sina. Ila report ya CAG mwaka huu imeonesha matumizi yasiyo na ushahidi wa mamilioni ya shilingi. Hii nenda hata Google utaipata ushahidi wa ripoti ya CAG kwa vyama vya siasa. Ushahidi mwingine, rejea maneno ya lijua likali.
Kuhusu ukabila, nisamehe kama nimeelewa vibaya. Mie si makabila ila pale CDM walizidi kuwekana wachaga au wakaskazini.
Sent from my Android using
JamiiForums mobile app