Godbless Lema sasa aitwa Trump

Godbless Lema sasa aitwa Trump

Mbunge wa milele wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amebadilishiwa jina na wafuasi wake , sasa anaitwa Donald Trump .

Hayo yamejulikana jana wakati alipokuwa anawaaga wafuasi wake alipokuwa anatoka mahakamani kuelekea gereza la kisongo .

Chanzo - Nipashe .

Swali - kwanini wana Arusha wanamfananisha Lema na Trump ?
Trump alishakaa rumande kisongo? Trump ni lofa kama Lema hadi wanywa viroba mumufanishe?
 
Back
Top Bottom