Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,664
- 272,497
- Thread starter
- #41
Chanzo cha Taarifa hii ni gazeti la nipashe , hata hivyo kuondoka kwako jf unadhani kuna hata mtu atajua ? Wengi wetu tutajua labda umekufa tu .Hizi dalili za kuchanganyikiwa. Hamna mweusi mwenye akili anataka kuitwa Trump au mlikuwa hamfuatilia kampeni zake? JF ikiendelea hivi kuna watu tutakimbia jukwaa la siasa.