Kwa hiyo wewe upo magereza.Acha kujipendekeza.Trumph gani anapenda Kisongo kama nini, sijui anamwenzie humu akikaa nje anakuwa anammiss? ?
Mtabaki hivyo hivyo na vijimaneno vyenu.Ina muimarisha zaidi , kwani hujui Trump alichoifanyia ccm ? Ni kwamba wale mabalozi wanaowalea lea huku katiba ikisiginwa ndio basi tena .
Nimeipenda hii.Wenye chuki wajinyonge.Mbunge wa milele wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amebadilishiwa jina na wafuasi wake , sasa anaitwa Donald Trump .
Hayo yamejulikana jana wakati alipokuwa anawaaga wafuasi wake alipokuwa anatoka mahakamani kuelekea gereza la kisongo .
Chanzo - Nipashe .
Swali - kwanini wana Arusha wanamfananisha Lema na Trump ?
Unaelekea kuchanganyikiwa boss! Utamlinganisha vipi mtuhuyu mwepesi na mwana falsafa Kwame?Taarifa zinadokeza kwamba Mh Lema ameingizwa kwenye kundi la WAPIGANIA UHURU MAARUFU WA AFRICA , yaani sasa yuko kundi moja na Nyerere na Kwame Nkruma.
Wewe ni wa kuhurumiwa sana .Acheni kumfananisha Trump na mambo ya kipuuzi
Lema ni bilionea wa akili .Trump ni bilionea kwa dola, huyo mwingine anategema salary slip ya mjengoni. Pakinuna anapiga miayo kama Mimi tu!
Huyu kijana ni baraka kwa nchi yetu .Lema wa watu wanyonge anayosema ni Yale anayoyaamini na wanaotaka kuyasikia ni wanyonge wazee wa ndiooo yanawakera trump naye kabeba walala hoikibao kama lema
Lema ni lakionea wa kesi!Lema ni bilionea wa akili .
Nimeelewa kwanini Wana Arusha mmempa Lema jina jipya .Mbunge wa milele wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amebadilishiwa jina na wafuasi wake , sasa anaitwa Donald Trump .
Hayo yamejulikana jana wakati alipokuwa anawaaga wafuasi wake alipokuwa anatoka mahakamani kuelekea gereza la kisongo .
Chanzo - Nipashe .
Swali - kwanini wana Arusha wanamfananisha Lema na Trump ?
Acha "kufukua maiti"Nimeelewa kwanini Wana Arusha mmempa Lema jina jipya .
Hizi dalili za kuchanganyikiwa. Hamna mweusi mwenye akili anataka kuitwa Trump au mlikuwa hamfuatilia kampeni zake? JF ikiendelea hivi kuna watu tutakimbia jukwaa la siasa.Mbunge wa milele wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amebadilishiwa jina na wafuasi wake , sasa anaitwa Donald Trump .
Hayo yamejulikana jana wakati alipokuwa anawaaga wafuasi wake alipokuwa anatoka mahakamani kuelekea gereza la kisongo .
Chanzo - Nipashe .
Swali - kwanini wana Arusha wanamfananisha Lema na Trump ?