Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,553
- 272,296
Mbunge wa milele wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amebadilishiwa jina na wafuasi wake , sasa anaitwa Donald Trump .
Hayo yamejulikana jana wakati alipokuwa anawaaga wafuasi wake alipokuwa anatoka mahakamani kuelekea gereza la kisongo .
Chanzo - Nipashe .
Swali - kwanini wana Arusha wanamfananisha Lema na Trump ?
Hayo yamejulikana jana wakati alipokuwa anawaaga wafuasi wake alipokuwa anatoka mahakamani kuelekea gereza la kisongo .
Chanzo - Nipashe .
Swali - kwanini wana Arusha wanamfananisha Lema na Trump ?