Wanazuoni wengi wanamlinganisha na Mitume , huku wengine wakimuweka kundi moja na Wapigania uhuru maarufu wa kiafrica kama Nelson Mandela , Kwame Nkrumah na Mwl Nyerere .
Acheni uzembe wa fikra, maana inaonekana we haufikirii, yaan Mandela umfananishe na Huyo mshamba?Na sio hivyo tu,bali ipo siku ataibuka shujaa na kila mtu atam-admire na atakuwa gumzo.
Hata Mandela alipita njia hizi hizi kabla dunia nzima haijamkubali na kumtambua.
Una uwezo mdogo sana !Acheni uzembe wa fikra, maana inaonekana we haufikirii, yaan Mandela umfananishe na Huyo mshamba?
Hata kinyambeUmaarufu wa mitandaoni..huo watu wengi wanao..hata kumwembe aliyepost anao.
Njoo Sakina hapa kibanda maziwa nikuelezee..unafkiri naandika kitu ambacho sifahamu?..una swali lingine?Wewe unaijua Arusha?
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
Ww kiazi kweli kama hakuna mahakama Iliyowahi kumtia hatiani huna haki ya kumuita criminalHujui historia ya Lema kuitwa criminal wewe, basi kwa taarifa yako ni mwizi wa magari
Criminal. Over.Ww kiazi kweli kama hakuna mahakama Iliyowahi kumtia hatiani huna haki ya kumuita criminal
Umaarufu usio na tija... kila kitu kupinga na kuropoka ili ucheze na media tu... Inatakiwa ajue kwa nini kachaguliwa sio matusi tu kila muda... Afanye alichotumwa na aige kauli mbiu ya [HASHTAG]#HAPA[/HASHTAG] KAZI TU itamsaidia kiutendaji.Anaandika Edo Kumwembe
......Godbless Lema ndiye Mbunge maarufu zaidi kwa sasa nchini ingawa hayupo bungeni.....Inahitaji akili kuucheza mchezo wa siasa.......
Usitake kujua details zaidi arif..wikiendi nakuaga hapa Milestone.Kibanda maziwa sehemu gani?
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
Hata Madiba alinyea debe. Je, alikuwa akitafuta umaarufu?Kama kunyea debe ndio alikuwa anatafuta umaarufu, sawa.