Godbless Lema: Mwingulu kauli yako si ya bahati mbaya Mpango wa kumbambikizia Mbowe kesi ya mauaji bado mnao?

Mpaka sasa hujaona nani anazama kati ya Lema na Magufuli!
Wewe una tatizo la kufikiri kama chadema walio wengi
Lema hatumsikii tena akipigania wana wa Arusha
Yupo wapi lema alielia kwa kunyimwa kipaza sauti,kweli Gambo amemnyoosha lema mpaka ameamua kuhamishia jimbo mitandaoni
 
Kwani, kupambana na Lema 'wapinzani' ndiyo kazi ya mkuu wa mkoa 'serikali'?
Ni utekelezaji sahihi wa majukumu tu mpaka anakua Irrelevant!
Kubweka kote kule kumbe ulikua udhaifu wa viongozi,sasa kazi zinafanyika lema hana cha kufanya,anaomba maandamano
 
Mwigulu,kauli yako Singida sio ya bahati mbaya.Unasema kuna watu wanapanga mauaji ili kuichafua taswira ya Nchi, maelekezo uliyo nayo ni kumbambikia Mh Mbowe kesi ya Mauaji pamoja na Viongozi wengine, huu Mpango wenu mnaonekana bado mnao.
Hivi Dr Kipilimba bado anahubiri Injili ?
Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho
 
Mwigulu,kauli yako Singida sio ya bahati mbaya.Unasema kuna watu wanapanga mauaji ili kuichafua taswira ya Nchi, maelekezo uliyo nayo ni kumbambikia Mh Mbowe kesi ya Mauaji pamoja na Viongozi wengine, huu Mpango wenu mnaonekana bado mnao.
Hivi Dr Kipilimba bado anahubiri Injili ?
Chadema waacha kulalamika

Inatakiwa lifanyike jambo ambalo halijawai fanyika
 
Sio watu wanapanga mipango ya kuichafua serikali bali chadeeemmmmaaaa mmekua mkifanya matukio mengi ya kuichafua serikali na kama huyo mwenyekiti wenu ana husika afungwe tu kwan yeye nani??
Kama humpendi Mungu basi bora umwogope!!
Unaweza kutoa ushahidi usio wa mashaka juu ya Hoja yako?
 
Kwa sasa hakuna tena umoja wa kitaifa, kilichopo kwa sasa ni juhudi kubwa za kuendelea kulipasua taifa kupitia kiongozi mkuu wa nchi rais Magufuli pamoja na wasaidizi wake kutokana na matamko yao majukwaani
Mr Jiwe anacheza ngoma ya Slim bila kujijua, mwenzake anataka na tz iwe kama rwanda!!!
 
Kwa mujibu wa maandiko matakatifu , hakuna mwanaccm atakayeona ufalme wa Mungu , ni kichekesho na kejeli ya hali ya juu sana kama kweli Kapilimba aliwahi kuhubiri injili .
eti hawa ndo wakupewa nchi fikra kama hizi ndo zituendeshee nchi
 
Mwigulu,kauli yako Singida sio ya bahati mbaya.Unasema kuna watu wanapanga mauaji ili kuichafua taswira ya Nchi, maelekezo uliyo nayo ni kumbambikia Mh Mbowe kesi ya Mauaji pamoja na Viongozi wengine, huu Mpango wenu mnaonekana bado mnao.
Hivi Dr Kipilimba bado anahubiri Injili ?

Kaacha kuhuburi injili , sasa yuko bize na mikakati ya kuua upinzani na kupokea amri za Bashite na babae!
 
Back
Top Bottom