Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,950
- 4,389
Katika mkutano wake huko Arusha kabla ya maandamano. Mh. Godbless Lema ameongea kitu kimenigusa sana.
Yaani unakuta viongozi wanatoka Dar na msafara wao wanaelekea mkoani kuzindua zahanati iliyogharimu Milioni Tshs. 176 na pesa za zahanati ni za msaada kutoka mashirika ya kigeni!
Yaani unakuta viongozi wanatoka Dar na msafara wao wanaelekea mkoani kuzindua zahanati iliyogharimu Milioni Tshs. 176 na pesa za zahanati ni za msaada kutoka mashirika ya kigeni!