Godbless Lema Mbashara 91.3 Radio 5 FM

Unko T

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
200
266
Namfuatilia "Raisi wa Arusha" akiongelea maendeleo ya Jiji la Arusha.

Stendi kuu ya mabasi kuhamia Moshono karibuni. Kuna viwanja viliuzwa kinyemela alivirudisha na halmashauri ikaviuza kwa uwazi na kutengeneza zaidi ya Bilioni Moja.

Barabara ya Krekoni itawekwa lami. Wafanyabiashara wavumilie kidogo.

Kuondolewa kwa Proper Tax na parking system kwa watu binafsi imekwamisha mambo. Kuondolewa parking system kwa watu binafsi ni kuua sekta binafsi, mpaka leo vitabu havijaandaliwa kwani hawakuwa wamejiaandaa. Serikali kuu badoo haijaanza kukusanya proper tax.

Kodi kubwa ya VAT kwenye utalii mpaka sasa Arusha imekosa watalii 10000. Kwani watalii hujipanga miaka mitatu nyuma, huwezi kumzidishia pesa ataondoka. Hotel kubwa Arusha zinafungwa, wamiliki wanatamani kuzifunga au kupangisha na kugeuza Hospitali.

Raisi amebana sana na kukosesha pumzi, wafanya biashara wanaondoa pesa bank. Biashara ya madini ya Tanzanite imeshuka kwa 30%. Watu wamekimbia na fedha na hazipo katika mzunguko.

Mfumo kubadilishwa, unahitaji busara sana laasivyo maisha yataendelea kuwa magumu

Mkuu wa Wilaya amekuja kwa kasi sana, Lema anasema atamdhibiti. Anaongea vitu vya ajabu. Anahamisha greda likafanye kazi nyumbani kwake na sio kuchonga lami maeneo ya wananchi. Mrisho Gambo anaahidi wananchi vitu asivyoweza kutekeleza.

Mkuu wa Wilaya ameweka X nyumba mia mbili maeneo ya Murieti bila kufuata utaratibu. Mkuu wa Wilaya achukue kero na alete ofisi ya Mbunge. Tuna muagiza apeleke kero kwa Meya na kwa Mbunge. Amepewa gari na anapenda kutembea, sasa aende pole pole Arusha ni Chadema, tukiamua kumdhibiti, atajuta kwani tumewadhibiti wengine wengi waliongilia halmashauri.

Arusha imetulia tunafanya kazi, anataka kurudisha madalali kwenye maduka kitu ambacho tumefanya kazi kubwa kuwaondoa.

Anakwenda sokoni anaahidi kufunga maji kwa kila mtu kitu ambacho sio kweli. Anawaahidi wananchi atawapa pesa zake za mfukoni kufanya maendeleo kitu ambacho ni siasa za kizamani.

World Bank imetupa pesa billion 486 na ndani ya miaka 2 maeneo ya Murieti na kwingineko tatizo la maji litapungua kwa 80%. Sasa mkuu wa Wilaya pesa atakayotoa itatoka wapi? Ametoka Uvinza, hii ni Arusha atulie. Afanye kazi kama alivyo agizwa aache mazingaombwe.
 
Namfuatilia "Raisi wa Arusha" akiongelea maendeleo ya Jiji la Arusha.

Stendi kuu ya mabasi kuhamia Moshono karibuni. Kuna viwanja viliuzwa kinyemela alivirudisha na halmashauri ikaviuza kwa uwazi na kutengeneza zaidi ya Bilioni Moja.

Barabara ya Krekoni itawekwa lami. Wafanyabiashara wavumilie kidogo.

Kuondolewa kwa Proper Tax na parking system kwa watu binafsi imekwamisha mambo. Kuondolewa parking system kwa watu binafsi ni kuua sekta binafsi, mpaka leo vitabu havijaandaliwa kwani hawakuwa wamejiaandaa. Serikali kuu badoo haijaanza kukusanya proper tax.

Kodi kubwa ya VAT kwenye utalii mpaka sasa Arusha imekosa watalii 10000. Kwani watalii hujipanga miaka mitatu nyuma, huwezi kumzidishia pesa ataondoka. Hotel kubwa Arusha zinafungwa, wamiliki wanatamani kuzifunga au kupangisha na kugeuza Hospitali.

Raisi amebana sana na kukosesha pumzi, wafanya biashara wanaondoa pesa bank. Biashara ya madini ya Tanzanite imeshuka kwa 30%. Watu wamekimbia na fedha na hazipo katika mzunguko.

Mfumo kubadilishwa, unahitaji busara sana laasivyo maisha yataendelea kuwa magumu

Kuhusu stendi kuu kuhamia Moshono nashauri ihamie Sakina kwenye uwanja wa Azimio ambao kihistoria ni mali ya serikali lakini sasa umemilikishwa CCM kinyemera. Kwa nini Mhe Lema usitafute historia ya uwanja huo ili urudishwe kwa halmashauri ya jiji? Sakina iko kwenye barabara kuu ya Moshi/ Nairobi na stendi ikiwa hapo itawapunguzia usumbufu wasafiri hasa wanaoondoka mapema na wanaowasili usiku.
 
Kuna viwanja havipo kwenye master plan, viwanja vya wazi vinaondolewa kwenye master plan kinyemela. Nilienda kwa Lukuvi akaniuliza nimefuatilia viwanja vya Themi? Sikuwa nimefuatilia nikamjibu ndio, kisha nikaja kuvifuatilia na tukaviuza na kupata zaidi ya Bilioni 1. Arusha ina viwanja zaidi ya 51, madiwani hwavijui mfano Mezaluna ni eneo la halmashauri na madiwani wengi ni wapya. Lazima madiwani wafanye ziara, vipandwe miti na kupigwa ukuta kisha tuite wawekezaji. Viwanja vya wazi vitumike kwa ajili ya jamii.

Amekuja huyu ametoka Uvinza, namwambia kama nilivyo mwambia Kitwanga kama nilivyo mwambia Mulongo. Huyu mkuu wa Wilaya anatafuta sifa na sisi tuta mnyoosha.

Bodaboda zimekuwa nyingi sana. Tunapanga jinsi gani watafanya biashara vizuri. Tunapanga mkakati wafanye biashara vizuri. Bodaboda fuateni kanuni za barabarani.

Siasa ya Tanzania ina mashaka sana. Raisi anasema mkafanye siasa mlipo chaguliwa. Chadema haitafanya siasa Mwanza, Shinyanga, CCM haitafanya siasa Arusha. Hii ni kuigawanya nchi. Raisi aogope sana watu waliokaa kimya.

Mbona Sendeka jana alikuwa anafanya mkutano wa siasa Longido? Amechaguliwa Longido kwani? Aliangushwa na Milya Simanjiro.

Raisi anashukuru kupata kura nyingi kwani Lowassa hakuchaguliwa? Hastaili kushukuru?

Viongozi wa dini wanajua kinacho endelea ila wamekaa kimya. Kama Kaburu alishindwa Afrika Kusini na akashindwa. CCM wana mwisho pia.

Najua usalama wa taifa wanasikia wakamwambie Raisi, Anachofanya sio sahihi hata kidogo. Kama Raisi ana dhamira njema angeacha upinzani uongee na wamsaidie. Na sio kuwaziba midomo na kuuwa demokrasia.

Hatakuwa Raisi milele, akistaafu ataona watu wakiuwana, watoto wake hawana amani hapo ndio atagundua matatizo aliyo yaleta.

Siasa 2020 ni sawa na kumwambia mkristu ata sali Christmass siku ya Yesu kuzaliwa. Wamefanya mkutano Dodoma kwa aibu magari ya polisi mengi. Inatakiwa watu wakimuona Raisi wafurahi na sio kuona magari ya washawasha.

Only time will tell, ukiuwa demokrasia ya nchi, watu wakinyimwa kuongea watatafuta jinsi ya kuongea.

Kipindi cha Good Morning Tanzania ndio kinakwisha.
Semio Sonyo, Ashura Mohamed na Linus Kilembu wamefunga.

NB. Kwa jinsi Lema alivyoongea, September 1 Tanzania itachukua sura mpya. Wanasiasa wakae na kujadili yajayo. Kumwaga damu kwaja chukua tahadhari hali haitokuwa shwari.
 
Kuhusu stendi kuu kuhamia Moshono nashauri ihamie Sakina kwenye uwanja wa Azimio ambao kihistoria ni mali ya serikali lakini sasa umemilikishwa CCM kinyemera. Kwa nini Mhe Lema usitafute historia ya uwanja huo ili urudishwe kwa halmashauri ya jiji? Sakina iko kwenye barabara kuu ya Moshi/ Nairobi na stendi ikiwa hapo itawapunguzia usumbufu wasafiri hasa wanaoondoka mapema na wanaowasili usiku.
Mkuu umbali si issue hata sisi wa Mwanza na Dar wakati stand inahama mnazi mmoja tulilia sana kusema ubungo toka mbagala ni mbali na ile kwenda nyegezi tuliona ni ngumu lakini now days tuko poa tu! Cha msingi ni kuboresha usafiri tu
 
Hi ndio Arusha tuitakayo...........Lema ndo mtu sahihi hapa Arusha.. .Lema na huku ungalimited kuna barabara hazijakaa mkao...tunaomba uzishughulikie........Ally bananga ,hapo sombetini tunaomba hiyo mifereji ...iwe inafanyiwa usafi....mwisho marufuku iwepo ombaomba wa kigogo kutoka mtera wafukuzeni ..wakaombe kule kwao......Hii ndiyo Arusha tuitakayo
 
Mkuu umbali si issue hata sisi wa Mwanza na Dar wakati stand inahama mnazi mmoja tulilia sana kusema ubungo toka mbagala ni mbali na ile kwenda nyegezi tuliona ni ngumu lakini now days tuko poa tu! Cha msingi ni kuboresha usafiri tu

Tunataka ule uwanja urudi halmashauri ya jiji. pia una uzio tayari. kwa nini tuanze kufyeka mbuga wakati tuna mali yetu iliyoporwa na mafisadi?
 
Kuna viwanja havipo kwenye master plan, viwanja vya wazi vinaondolewa kwenye master plan kinyemela. Nilienda kwa Lukuvi akaniuliza nimefuatilia viwanja vya Themi? Sikuwa nimefuatilia nikamjibu ndio, kisha nikaja kuvifuatilia na tukaviuza na kupata zaidi ya Bilioni 1. Arusha ina viwanja zaidi ya 51, madiwani hwavijui mfano Mezaluna ni eneo la halmashauri na madiwani wengi ni wapya. Lazima madiwani wafanye ziara, vipandwe miti na kupigwa ukuta kisha tuite wawekezaji. Viwanja vya wazi vitumike kwa ajili ya jamii.

Amekuja huyu ametoka Uvinza, namwambia kama nilivyo mwambia Kitwanga kama nilivyo mwambia Mulongo. Huyu mkuu wa Wilaya anatafuta sifa na sisi tuta mnyoosha.

Bodaboda zimekuwa nyingi sana. Tunapanga jinsi gani watafanya biashara vizuri. Tunapanga mkakati wafanye biashara vizuri. Bodaboda fuateni kanuni za barabarani.

Siasa ya Tanzania ina mashaka sana. Raisi anasema mkafanye siasa mlipo chaguliwa. Chadema haitafanya siasa Mwanza, Shinyanga, CCM haitafanya siasa Arusha. Hii ni kuigawanya nchi. Raisi aogope sana watu waliokaa kimya.

Mbona Sendeka jana alikuwa anafanya mkutano wa siasa Longido? Amechaguliwa Longido kwani? Aliangushwa na Milya Simanjiro.

Raisi anashukuru kupata kura nyingi kwani Lowassa hakuchaguliwa? Hastaili kushukuru?

Viongozi wa dini wanajua kinacho endelea ila wamekaa kimya. Kama Kaburu alishindwa Afrika Kusini na akashindwa. CCM wana mwisho pia.

Najua usalama wa taifa wanasikia wakamwambie Raisi, Anachofanya sio sahihi hata kidogo. Kama Raisi ana dhamira njema angeacha upinzani uongee na wamsaidie. Na sio kuwaziba midomo na kuuwa demokrasia.

Hatakuwa Raisi milele, akistaafu ataona watu wakiuwana, watoto wake hawana amani hapo ndio atagundua matatizo aliyo yaleta.

Siasa 2020 ni sawa na kumwambia mkristu ata sali Christmass siku ya Yesu kuzaliwa. Wamefanya mkutano Dodoma kwa aibu magari ya polisi mengi. Inatakiwa watu wakimuona Raisi wafurahi na sio kuona magari ya washawasha.

Only time will tell, ukiuwa demokrasia ya nchi, watu wakinyimwa kuongea watatafuta jinsi ya kuongea.

Kipindi cha Good Morning Tanzania ndio kinakwisha.
Semio Sonyo, Ashura Mohamed na Linus Kilembu wamefunga.

NB. Kwa jinsi Lema alivyoongea, September 1 Tanzania itachukua sura mpya. Wanasiasa wakae na kujadili yajayo. Kumwaga damu kwaja chukua tahadhari hali haitokuwa shwari.
namkubali sana kamanda lema
 
Barabara ya krokoni kweli waweke lami na ni muhmu sana maana gari za abiria ndio zinaitumia sahiv...!
 
....Barabara ya krokoni wekeni lami, ni muhimu sana, magari mengi ya abiria yanapita kule, vumbi tunalokula wacha kabisa namuachia Mungu!
 
Hahaha naona Lema nawenzie wanatenda anayo hitaji Magufuli.

Lakini kwenye hilo la kusema atamdhibiti Mkuu wa wilaya nafikiri anahitaji mkujua Magufuli vizuri kama alizoea kufanya vurugu akaangaliwa kwa sasa kamwe asithubutu kabisa.

Kwanza anatakiwa kujua kuwa katakama kumthibiti Mkuu wa wilaya ni kutaka kuithibiti serikali hakika hapo ndio anapo taka kumchokoza Magufuli.

Naomba Lema ujaribu kuthibiti bangi hizo maana kwa Magufuli atahakikisha unaacha bangi unazo kula.
 
mkuu huwez kuchangia bila kuchafua bhana mambo ya kula bangi yanakujaje tena jamani dah siasa hizi
 
Kuna viwanja havipo kwenye master plan, viwanja vya wazi vinaondolewa kwenye master plan kinyemela. Nilienda kwa Lukuvi akaniuliza nimefuatilia viwanja vya Themi? Sikuwa nimefuatilia nikamjibu ndio, kisha nikaja kuvifuatilia na tukaviuza na kupata zaidi ya Bilioni 1. Arusha ina viwanja zaidi ya 51, madiwani hwavijui mfano Mezaluna ni eneo la halmashauri na madiwani wengi ni wapya. Lazima madiwani wafanye ziara, vipandwe miti na kupigwa ukuta kisha tuite wawekezaji. Viwanja vya wazi vitumike kwa ajili ya jamii.

Amekuja huyu ametoka Uvinza, namwambia kama nilivyo mwambia Kitwanga kama nilivyo mwambia Mulongo. Huyu mkuu wa Wilaya anatafuta sifa na sisi tuta mnyoosha.

Bodaboda zimekuwa nyingi sana. Tunapanga jinsi gani watafanya biashara vizuri. Tunapanga mkakati wafanye biashara vizuri. Bodaboda fuateni kanuni za barabarani.

Siasa ya Tanzania ina mashaka sana. Raisi anasema mkafanye siasa mlipo chaguliwa. Chadema haitafanya siasa Mwanza, Shinyanga, CCM haitafanya siasa Arusha. Hii ni kuigawanya nchi. Raisi aogope sana watu waliokaa kimya.

Mbona Sendeka jana alikuwa anafanya mkutano wa siasa Longido? Amechaguliwa Longido kwani? Aliangushwa na Milya Simanjiro.

Raisi anashukuru kupata kura nyingi kwani Lowassa hakuchaguliwa? Hastaili kushukuru?

Viongozi wa dini wanajua kinacho endelea ila wamekaa kimya. Kama Kaburu alishindwa Afrika Kusini na akashindwa. CCM wana mwisho pia.

Najua usalama wa taifa wanasikia wakamwambie Raisi, Anachofanya sio sahihi hata kidogo. Kama Raisi ana dhamira njema angeacha upinzani uongee na wamsaidie. Na sio kuwaziba midomo na kuuwa demokrasia.

Hatakuwa Raisi milele, akistaafu ataona watu wakiuwana, watoto wake hawana amani hapo ndio atagundua matatizo aliyo yaleta.

Siasa 2020 ni sawa na kumwambia mkristu ata sali Christmass siku ya Yesu kuzaliwa. Wamefanya mkutano Dodoma kwa aibu magari ya polisi mengi. Inatakiwa watu wakimuona Raisi wafurahi na sio kuona magari ya washawasha.

Only time will tell, ukiuwa demokrasia ya nchi, watu wakinyimwa kuongea watatafuta jinsi ya kuongea.

Kipindi cha Good Morning Tanzania ndio kinakwisha.
Semio Sonyo, Ashura Mohamed na Linus Kilembu wamefunga.

NB. Kwa jinsi Lema alivyoongea, September 1 Tanzania itachukua sura mpya. Wanasiasa wakae na kujadili yajayo. Kumwaga damu kwaja chukua tahadhari hali haitokuwa shwari.
Akili kushikwa aisee eti anasema ameshikwa mdomo huku yeye anaongea
 
Back
Top Bottom