Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 9,468
- 8,276
Utaelewa nikija kununua bidhaa katika banda lako 7/7Sijaelewa chochote
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Utaelewa nikija kununua bidhaa katika banda lako 7/7Sijaelewa chochote
Ndio Maana jana Mwigulu kamtaja😅😅Hii ndio taarifa mpya ya sasa kutoka Wasafi Media kwamba Godbless Lema ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema amealikwa kwenye kipindi cha asubuhi ( GOOD MORNING ), tarehe 25/04/2023, kuanzia Alfajiri saa 11 hadi saa 2 Asubuhi.
Ikumbukwe kwamba miongoni mwa Watangazaji wa Wasafi Media ambao watamhoji Lema yumo Gerald Hando.
Kwa mara ya kwanza mimi nitafuatilia Wasafi Media tangu ianzishwe.
Wote mnakaribishwa.
si ndio kama ushauri wa kufungua madhamba ya Mpunga ekari 100, 000 kwenye ardhi iajiri vijana wengi?? Hau haiwezekani?Ajitahidi kuongelea vitu practical vinavyogusa wananchi aache kauli za ukakasi.