Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,635
- 272,430
Hii ndio taarifa mpya ya sasa kutoka Wasafi Media kwamba Godbless Lema ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema amealikwa kwenye kipindi cha asubuhi ( GOOD MORNING ), tarehe 25/04/2023, kuanzia Alfajiri saa 11 hadi saa 2 Asubuhi.
Ikumbukwe kwamba miongoni mwa Watangazaji wa Wasafi Media ambao watamhoji Lema yumo Gerald Hando.
Kwa mara ya kwanza mimi nitafuatilia Wasafi Media tangu ianzishwe.
Wote mnakaribishwa.
Ikumbukwe kwamba miongoni mwa Watangazaji wa Wasafi Media ambao watamhoji Lema yumo Gerald Hando.
Kwa mara ya kwanza mimi nitafuatilia Wasafi Media tangu ianzishwe.
Wote mnakaribishwa.


