Godbless Lema kutikisa Mbeya Vijijini

Molemo , hebu wakumbushe viongozi wa kanda hiyo kwamba ni muhimu mno kwa Ugeni kama huo kuuteremsha hadi Kyela , tunaisahau sana kyela .
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.

ndiyo maana mmeo akarusha bomu na risasi mbali na hayo tuliwatuma viongozi wa juu wa chama pamoja na mawaziri na manaibu kujaribu kuokoa angalau kata moja lakini tukaambulia 4 - 0
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.

kama mlijua hizo kata ni za chadema nini kiliwapeleka huko?acha wivu wa kike.
 
Baada ya kuisambaratisha vibaya CCM kwenye uchaguzi wa udiwani wa kata nne jijini Arusha mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Godbless Lema kesho atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Mbalizi Mbeya vijijini.

Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mkutano huo Kissman Mwangomale amesema Lema amealikwa kuwa mgeni rasmi na wanachama wa mjini Mbalizi kwa kuthamini kazi kubwa anayofanya ndani ya Chadema.

Chadema inaongoza vijiji vyote vilivyoko katika kata za Utengule Usongwe na Nsalala zote za mjini Mbalizi.

Mkutano huo utafanyika katika viwanja vya mahubiri vilivyoko Tazara mjini Mbalizi.

Lema mbali ya kuhutubia mkutano wa hadhara anatarajiwa pia kufungua matawi ya Chadema na kupokea mamia ya wanachama wapya.

Kiongozi huyo wa ngazi ya juu ya Chadema anatarajiwa kusindikizwa na wabunge maarufu wa Kanda hiyo Mchungaji Peter Msigwa,Davidi Silinde na Joseph Mbilinyi anayejulikana kwa jina maarufu la Rais wa Mbeya.

Source:Tanzania Daima.
Ki msingi Molemo harakati ambazo watu wa mbeya vijini wameamua kuzifanya zitawashangaza wengi mana vijana wasomi wenye uwelewa wamekuja kusaidiana na vijana na wanachama wote wakongwe wa chadema ndani ya mby v mana chadema hakuna mtu asiye msomi coz ya power of argument waliyo nayo sasa kama wewe uko mbeya vijijini kesho tutasaidiana kuwa update wana jamii kinacho fanyika, mana hata mimi ni mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mkutano huo ko wana jamvi kaeni mkao wa kupata newz, HARAKATI ZA KUIOKOA TZ NDANI YA MBEYA ZILIANZIA MBY V NA TUTAHAKIKISHA CCM WANAKAA
 
Anaenda kutikisa na fimbo au na mikono make hoja hana kichwani mweupe hana chochote.
 
Lema kufanya siasa ni ishara ya utawala bora wa Chama Cha Mapinduzi na uongozi bora wa Jakaya Kikwete. Hivi mnajua kuwa kuna nchi ambazo wezi wa magari hawatakiwi hata kupiga kura, achilia mbali kuwa wabunge?

Vp wale wapiga dill za cocaine toka magogoni hadi Hong Kong achilia mbali na ukatibu Mkuu wa Lumumba na Pembe za Ndovu?
 
Baada ya kuisambaratisha vibaya CCM kwenye uchaguzi wa udiwani wa kata nne jijini Arusha mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Godbless Lema kesho atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Mbalizi Mbeya vijijini.

Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mkutano huo Kissman Mwangomale amesema Lema amealikwa kuwa mgeni rasmi na wanachama wa mjini Mbalizi kwa kuthamini kazi kubwa anayofanya ndani ya Chadema.

Chadema inaongoza vijiji vyote vilivyoko katika kata za Utengule Usongwe na Nsalala zote za mjini Mbalizi.

Mkutano huo utafanyika katika viwanja vya mahubiri vilivyoko Tazara mjini Mbalizi.

Lema mbali ya kuhutubia mkutano wa hadhara anatarajiwa pia kufungua matawi ya Chadema na kupokea mamia ya wanachama wapya.

Kiongozi huyo wa ngazi ya juu ya Chadema anatarajiwa kusindikizwa na wabunge maarufu wa Kanda hiyo Mchungaji Peter Msigwa,Davidi Silinde na Joseph Mbilinyi anayejulikana kwa jina maarufu la Rais wa Mbeya.

Source:Tanzania Daima.

Makamanda!

Mtaacha watu waanguke anguke kutwa 2X3 pale Magogoni jamani. Kwa mwendo huu naamini kuna watu wataanza kuyatafuta makazi mapya kabla ya muda kuisha jamani.

GO....... CHADEMA...... GO.......

KAMATA WEZI MEEEEEN.............!
 
Ki msingi Molemo harakati ambazo watu wa mbeya vijini wameamua kuzifanya zitawashangaza wengi mana vijana wasomi wenye uwelewa wamekuja kusaidiana na vijana na wanachama wote wakongwe wa chadema ndani ya mby v mana chadema hakuna mtu asiye msomi coz ya power of argument waliyo nayo sasa kama wewe uko mbeya vijijini kesho tutasaidiana kuwa update wana jamii kinacho fanyika, mana hata mimi ni mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mkutano huo ko wana jamvi kaeni mkao wa kupata newz, HARAKATI ZA KUIOKOA TZ NDANI YA MBEYA ZILIANZIA MBY V NA TUTAHAKIKISHA CCM WANAKAA
Chadema hakuna mtu asiye msomi eeeeeee!.
mbowe.....kidato cha nne.
msigwa....kidato cha nne.
sugu.......std seven.
lema.......kidato cha pili au hawa siyo wanachadema?
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena kushangilia ushindi kwa kata zenu?

Umeshama kwenye topic.
Shame!
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.

vp kata za sengerema na morogoro walizochukua CDM zilikuwa zao pia? jiulize kwanin serikali ilisita kuitisha uchgz iliyokuwa kata ya ccm ya sombetini japo haina diwani hadi sasa? tafakari..
 
Hiyo ni kazi ya mbowe na sugu ndiyo dili zao.

Nasikia Baba Ritz aliamshwa na simu Magogoni kwenda kuamaliza Msala Hong Kong au?Kinana nae akasema Meli ni Mali yake ila pembe sio zake kweli? Magamba kazi mnayo.
 
Habari kutoka chanzo cha kuaminika ni kuwa mh. Lema leo anafanya mkutano wa hadhara mbeya mjini eneo la iyela na baadaye kesho mbalizi mbeya vijijini.mbunge huyo mwenye mvuto miongoni mwa wabunge wa chadema anategemewa kuwakonga wana mbeya hasa kwa ujasiri wake wa kukemea maovu yanayofanywa na serikali ya ccm licha kuandamwa sana na serikali ya kifisadi ya ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom