SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
Na Noel naye nadhani ni kichaa
Hatakama ni chadema sana sio hivo mkuu . Nadhan kwa arusha lema inatosha halafu anatuita vichaa baada ya kuwa mbuge wew unaona Sawa tu
Lema lazima tumuondoe Arusha, Hadhi ya Jiji la Arusha imepotea kabisa
Nina uhakika 100% Lema harudi bungeni, Arusha tumemchoka sana
Hilo halina ubishi wowote liko wazi kabisa, sijui nini kitafanyika kumzuia Lema/CDM
Nakaa Arusha hapa Sakina
Lema lazima tumuondoe Arusha, Hadhi ya Jiji la Arusha imepotea kabisa
Me naiwekea msisitizo tu kauli ya GODBLESSlema "ukiona mtaani kwako hakuna chizi hata mmoja,chunguza vizuri huenda ukawa ni wewe". Tunaishi vichaa wengi sana ktk jamii yetu,anaweza kuwa ndugu yako au hata wewe mwenyewe!Hatakama ni chadema sana sio hivo mkuu . Nadhan kwa arusha lema inatosha halafu anatuita vichaa baada ya kuwa mbuge wew unaona Sawa tu
Me naiwekea msisitizo tu kauli ya GODBLESSlema "ukiona mtaani kwako hakuna chizi hata mmoja,chunguza vizuri huenda ukawa ni wewe". Tunaishi vichaa wengi sana ktk jamii yetu,anaweza kuwa ndugu yako au hata wewe mwenyewe!
Nina uhakika 100% Lema harudi bungeni, Arusha tumemchoka sana
Ok amna shida Kama kura yako ni ya veto sawa