Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Wakuu,
Hii nchi imeiva!!
Wakati Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akiwa katika ziara za kuwafundisha vijana ujasiri na ukakamavu akianzia mikoa ya Mwanza, Kagera na Bukoba, na Dr. Slaa akianza ziara zake mkoani Morogoro, Kamanda wa ardhini Godbless Lema akiambatana na Mwenyekiti wa bavicha taifa kesho wanatarajia kukinukisha mjini Kahama, yaani maccm na vibaraka wao wameshikwa kila kona hakuna kuchomoka.
Mh. Lema baada ya kesho kuhutubia Kahama, kesho kutwa atakuwa Chato kumfuata Makamasi mwenye masifa, kabla ya kuungana na Mwenyekiti mwenza wa ukawa Mh Mbatia katika ziara zitakazofanywa Kigoma..
Nchi imeivaaaaa!!
Hii nchi imeiva!!
Wakati Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akiwa katika ziara za kuwafundisha vijana ujasiri na ukakamavu akianzia mikoa ya Mwanza, Kagera na Bukoba, na Dr. Slaa akianza ziara zake mkoani Morogoro, Kamanda wa ardhini Godbless Lema akiambatana na Mwenyekiti wa bavicha taifa kesho wanatarajia kukinukisha mjini Kahama, yaani maccm na vibaraka wao wameshikwa kila kona hakuna kuchomoka.
Mh. Lema baada ya kesho kuhutubia Kahama, kesho kutwa atakuwa Chato kumfuata Makamasi mwenye masifa, kabla ya kuungana na Mwenyekiti mwenza wa ukawa Mh Mbatia katika ziara zitakazofanywa Kigoma..
Nchi imeivaaaaa!!