Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,746
- 218,337
Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara Mjini Arusha , Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini Godbless Lema , amewashangaa watu ambao hadi sasa hawana kadi ya CHADEMA huku wakiwa na uwezo wa kununua K-VANT.
Lema amewashangaa watu hao na kudai kwamba hawana KIPAUMBELE chochote na ni hasara kwa Taifa .
Akizungumza kwa kujiamini amedai kwamba CHADEMA haina dini wala kabila , huku akiwakumbusha watu wa dini badala ya kumkemea Shetani na kumsingizia kuleta umasikini wanatakiwa kuikemea CCM, maana hiyo kabla ya shetani hajaanza mambo yake yenyewe ilishaanza, amewaomba Waislam badala ya kumtupia mawe Shetani ni vema wakaanza kuimaliza ccm kwanza , huku akiwaasa walokole wanaokesha na kuomba kwa kumkanyaga Shetani , sasa Wakeshe kwa kuikanyaga CCM ambayo ina roho mbaya kuliko hata Shetani .
Lema amewashangaa watu hao na kudai kwamba hawana KIPAUMBELE chochote na ni hasara kwa Taifa .
Akizungumza kwa kujiamini amedai kwamba CHADEMA haina dini wala kabila , huku akiwakumbusha watu wa dini badala ya kumkemea Shetani na kumsingizia kuleta umasikini wanatakiwa kuikemea CCM, maana hiyo kabla ya shetani hajaanza mambo yake yenyewe ilishaanza, amewaomba Waislam badala ya kumtupia mawe Shetani ni vema wakaanza kuimaliza ccm kwanza , huku akiwaasa walokole wanaokesha na kuomba kwa kumkanyaga Shetani , sasa Wakeshe kwa kuikanyaga CCM ambayo ina roho mbaya kuliko hata Shetani .