johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Mjumbe wa kamati Kuu ya CHADEMA mh Godbless Lema ametua nchini na moja kwa moja ameendelea na Majukumu ya kikazi
Jambo la kwanza Lema amezindua tawi la CHADEMA njia panda ya KIA
Mungu ni mwema Wakati Wote!
Jambo la kwanza Lema amezindua tawi la CHADEMA njia panda ya KIA
Mungu ni mwema Wakati Wote!