Kiukweli,Godbless Lema ametushinda kama Chama cha Mapinduzi.Lema hazuiliki,hadhibitiki. Hongereni sana mliokuwa 'wanamagamba' wenzangu kwa kuamua mlivyoamua. Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
good Analysis
Kiukweli,Godbless Lema ametushinda kama Chama cha Mapinduzi.Lema hazuiliki,hadhibitiki. Hongereni sana mliokuwa 'wanamagamba' wenzangu kwa kuamua mlivyoamua. Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Good, tupe na picha za magamba yakipokea kadi mpya mkuu
Lema kiboko ya Magamba.
Wekeni picha
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hizi ndio habari mnazopenda kuona jamvini, kusifiwa na kusifiana hata pasipo stahili, ila sio kukosolewa