Ni Tanzania tu ndio kuna upuuzi huu, wakati Wa kuomba kura wadiriki kupanda hadi baskeli ilimradi tu, baada ya hapo mnakuwa mbwa waoSijawahi kiongozi bora analazimisha anao waongoza wamsujudie
Hili liwe ni fundisho kwa wapiga kura wa tanzanaNi Tanzania tu ndio kuna upuuzi huu, wakati Wa kuomba kura wadiriki kupanda hadi baskeli ilimradi tu, baada ya hapo mnakuwa mbwa wao
Umempa ushauri mzuri sana mkuuNdo tuseme chochote kitakachoongewa na MTANZANIA ambaye sio SISIEMU hakinaga mantiki Jiongeze braza huwa nakuheshimu sana ila itikadi isikufanye ujitoe ufahamu period!.
SijalipataTupe Wewe basi jipya Mkuu?
Huwa nakusitikia sanaJipya kwa sasa lipo ccm kushindwa kufanya mkutano wake mkuu kisa kumnyima magufuli uenyekiti
Afadhali ndugu zangu wana hasara, wa kwako ndiyo washafanya matangaB
Huwa nakusitikia sana
Nduguzo wana hasara
Nchi hii ni yetu sote hatuhitaji siasa za chuki.Tunahitaji siasa za upendo na maendeleo. Wananchi hatutegemei siasa ila siasa inatutegemea sisi hatahivyo wananchi hatutegemei serikali ila serikali inajivunia wananchi wake.Umempa ushauri mzuri sana mkuu
Sawa sawa ndugu tumekusoma kabisaNchi hii ni yetu sote hatuhitaji siasa za chuki.Tunahitaji siasa za upendo na maendeleo. Wananchi hatutegemei siasa ila siasa inatutegemea sisi hatahivyo wananchi hatutegemei serikali ila serikali inajivunia wananchi wake.
kweli, lakini utekelezaji mpya?Hana jipya
Umekula kijana?Hana jipya
Hilo swali muulize mnywa viroba kama weweUmekula kijana?
Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani ameshindwa kutatua fumbo la mlipuko wa mabomu soweto, useless MP..
Lema hazungumzii kabisa ujambazi uliokithiri au kwa sababu na yeye ana kashfa ya wizi wa magari
Sasa ulikuja kuandika nini au kiherehereSijalipata