The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,258
- 17,456
Huko Mwigulu asipoangalia .......... ndoto zake za Urais zitaishia huko huko!!!
Anatia huruma sana huyu kijana, kwann msimpeleke kwa gwajima akaombeweNi kweli mkuu maana akishapika chai kinacho baki ni kufanya usafi
Kuna nini huko mkuu?au watamfanya kama walivyo mfanya samuel sita ?Huko Mwigulu asipoangalia .......... ndoto zake za Urais zitaishia huko huko!!!
Hawezi kuombewa maana yeye anaamini kwenye kalimanzira, mwili mzima ni mahiriziAnatia huruma sana huyu kijana, kwann msimpeleke kwa gwajima akaombewe
Aiseeee kumbe kweli kuhusu kojan pembaHawezi kuombewa maana yeye anaamini kwenye kalimanzira, mwili mzima ni mahirizi
Mwigulu afadhali aje atatue hili wimbi la ujambazi na la mauaji ya watu,pia atatue issue ya lugumiWaziri kivuli wa Mambo ya Ndani ameshindwa kutatua fumbo la mlipuko wa mabomu soweto, useless MP..
Umenikumbusha kitu mkuu hapo...Aiseeee kumbe kweli kuhusu kojan pemba
Hatari sana hiiUmenikumbusha kitu mkuu hapo...
Ndiyo tanzania yetu,hatuna mahala pa kukimbilia na tayari ccm washa mrudisha lipumba kuusambaratisha ukawaHatari sana hii
Wewe uliopo kwenye gari ya mwendo kasi jipya kwako ni lipi zaidi ya upepo tuHana jipya
Wasomi wanajidhalilisha sana, ndio maana siku hizi hawaheshimikiNdiyo tanzania yetu,hatuna mahala pa kukimbilia na tayari ccm washa mrudisha lipumba kuusambaratisha ukawa
Ulichukua hela kwenye viroba niniLema hazungumzii kabisa ujambazi uliokithiri au kwa sababu na yeye ana kashfa ya wizi wa magari
Huoni wengine wanalazimisha kuitwa waheshimiwa?Wasomi wanajidhalilisha sana, ndio maana siku hizi hawaheshimiki
Lini mnalkabidhi Magufulu uwenyekiti wa chama au bakuli lijae kwanzaNonsense.
Ujinga huu nadhani unapatikana Tanzania peke yake, kajidhalilisha sana huyu profHuoni wengine wanalazimisha kuitwa waheshimiwa?
Watalijaza vipi wakati milango yao imepigwa viro?labda waingie serengetiLini mnalkabidhi Magufulu uwenyekiti wa chama au bakuli lijae kwanza
Sijawahi kiongozi bora analazimisha anao waongoza wamsujudieUjinga huu nadhani unapatikana Tanzania peke yake, kajidhalilisha sana huyu prof
Ndo tuseme chochote kitakachoongewa na MTANZANIA ambaye sio SISIEMU hakinaga mantiki Jiongeze braza huwa nakuheshimu sana ila itikadi isikufanye ujitoe ufahamu period!.Hana jipya