Habari wana Janvi.
Kwa wana UKAWA wote na Watanzania kwa ujumla wanao fuatilia siasa za nchi yetu bila kujali itikadi za kisiasa mtakuwa mnakumbuka jambo hili.
Hivi karibuni wakati UKAWA wanamtambulisha mgombea wao Mikoani, mgombea wa UKAWA Mh Edward Ngoyi Lowasa alitoa tamko au agizo ambalo wana UKAWA wanaliita "Tamko Zito" alimuagiza anaejiita/kuitwa Rais wa Arusha Mh Godbless Lema aende kwa Mkurugenzi wa TANESCO Arusha akafuatilie suala la tatizo la kukatika kwa umeme kwa lugha nyingine amwambie Mkurugenzi akome kukata umeme Arusha na kama Mkurugenzi hatamsikiliza Lema, basi Lema amtwangie Mh Lowasa.
Kinachonishangaza tangu tamko hili litolewe umeme bado unakatika na maeneo mengine umezidi tofauti na ilivyokuwa mwanzo, Je? Mh Lema alikaidi maagizo ya Mh Lowasa? au Mkurugenzi amekaidimaagizo ya Mh Lema?
Au Mh Lowasa aliongea haya ili apate huruma ya wananchi? Yaani ilikuwa ni kauli aliyoitoa bila kujua kama hana uwezo wa kumfanya chochote Mkurugenzi wa TANESCO?
N.B naomba ufafanuzi wa maswali yangu hayo wanajamvi.
Kwa wana UKAWA wote na Watanzania kwa ujumla wanao fuatilia siasa za nchi yetu bila kujali itikadi za kisiasa mtakuwa mnakumbuka jambo hili.
Hivi karibuni wakati UKAWA wanamtambulisha mgombea wao Mikoani, mgombea wa UKAWA Mh Edward Ngoyi Lowasa alitoa tamko au agizo ambalo wana UKAWA wanaliita "Tamko Zito" alimuagiza anaejiita/kuitwa Rais wa Arusha Mh Godbless Lema aende kwa Mkurugenzi wa TANESCO Arusha akafuatilie suala la tatizo la kukatika kwa umeme kwa lugha nyingine amwambie Mkurugenzi akome kukata umeme Arusha na kama Mkurugenzi hatamsikiliza Lema, basi Lema amtwangie Mh Lowasa.
Kinachonishangaza tangu tamko hili litolewe umeme bado unakatika na maeneo mengine umezidi tofauti na ilivyokuwa mwanzo, Je? Mh Lema alikaidi maagizo ya Mh Lowasa? au Mkurugenzi amekaidimaagizo ya Mh Lema?
Au Mh Lowasa aliongea haya ili apate huruma ya wananchi? Yaani ilikuwa ni kauli aliyoitoa bila kujua kama hana uwezo wa kumfanya chochote Mkurugenzi wa TANESCO?
N.B naomba ufafanuzi wa maswali yangu hayo wanajamvi.