Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Katika hali isiyo ya kawaida,mgombea wa Ubunge kupitia CHADEMA/UKAWA jimbo la Arusha Mjini,Godbless Lema amekatazwa kupiga kampeni za ubunge. Wananchi wa Arusha Mjini wametoa katazo hilo kwakuwa Lema hana upinzani unaoonekana na hivyo hana haja ya kukampeni.
Wananchi wake wamemtaka Lema kuokoa rasilimali zake za fedha na muda. Lema ameruhusiwa tu kuwapigia kampeni wagombea wa chama chake katika ngazi ya Udiwani. Mgombea wa CCM anaendelea na kampeni zake huku Lema akisubiri kupigiwa kura zake za vema hapo Oktoba 25.
Wananchi hapa Arusha Mjini wanasema Lema atatunzwa kwa mema na harakati zake. Hana haja ya kuhangaika. Ni hayo tu kwa leo.
Wananchi wake wamemtaka Lema kuokoa rasilimali zake za fedha na muda. Lema ameruhusiwa tu kuwapigia kampeni wagombea wa chama chake katika ngazi ya Udiwani. Mgombea wa CCM anaendelea na kampeni zake huku Lema akisubiri kupigiwa kura zake za vema hapo Oktoba 25.
Wananchi hapa Arusha Mjini wanasema Lema atatunzwa kwa mema na harakati zake. Hana haja ya kuhangaika. Ni hayo tu kwa leo.