wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Bado una wenge subiri damu ipoe kwanza ndio utasikia maumivu ya mwili mzimaWakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.
Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.
Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.