Glory to God! Nimenusurika ajali

Pole sana..jiskilizie kama uko fit kweli ...then nashukuru Mungu na l utowe sadaka ..

Ukome kiume kwenda mbio kama bara bara ni yako peke yako...mpaka umeua ndama sawa?
 
Wakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.

Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.

Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.
Nenda hospitality for full medical medical checkup
 
Matumizi ya
Lugha

#usiseme nimenusurika ajali
Maana ajali hujanusurika ila umenusurika kifo.
# ng'ombe mdogo
Ungesema tu ndama

Ushauri
Uko physically fit ila unaweza kuwa physiologically unfit. Kamwone daktari.

POLE SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.

Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.

Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.
Japo kua unasema uko fit ila nakushauri kafanye check up kwanza kujilizisha Kama kweli uko fit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andaa kasherehe flani hivi ka kumshukuru Mungu, niweke kwenye kamati ya michango
 
Japo kua unasema uko fit ila nakushauri kafanye check up kwanza kujilizisha Kama kweli uko fit

Sent using Jamii Forums mobile app
Usithubutu kabisa kufanya check up, maana majibu ya vipimo yote yataonyesha positive, kama mapapai, fenesi na mbuzi wote wamekutwa positive wewe ni nani mpk vipimo vionyeshe mzima.
Jitahidi tu kupiga nyungu ya kutosha, kula malimao na tangawizi kisha piga push up.
 
Wakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.

Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.

Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.
Pole mkuu.
Hongera kwa kupona..ni wachache Sana wanapona kwenye ajali..kupona ni bahati..kifo Cha ajali hakina kujiandaa..amini si kwa ujanja wako.

Kwanini Mungu amekunusuru?
Sababu ni kuwa Anakupenda..Bado Anahitaji umtumikie..Anahitaji uyaishi mapenzi yako .
Kama Bado hujaanza kumtumikia kikamilifu embu anza leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.

Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.

Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.
Pole, nenda hospital kwa ajili ya check kujiridhisha zaidi, unaweza kuwa umepata Internal trauma au bleeding, sasa hivi huwezi kujua. Pole sana
 
Nasilia mtu aki karibia kudead hasikii maumivu yoyote


Nasikia tu jaman sija sema kitu ooh

Dark Side
 
Back
Top Bottom