Tena nahisi kubwa tu, maana jana tu usiku nilinusulika kugongwa na gari. Yaani lilipita ubavuni. Du!!
Nenda hospitality for full medical medical checkupWakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.
Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.
Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.
Japo kua unasema uko fit ila nakushauri kafanye check up kwanza kujilizisha Kama kweli uko fitWakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.
Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.
Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.
Usithubutu kabisa kufanya check up, maana majibu ya vipimo yote yataonyesha positive, kama mapapai, fenesi na mbuzi wote wamekutwa positive wewe ni nani mpk vipimo vionyeshe mzima.Japo kua unasema uko fit ila nakushauri kafanye check up kwanza kujilizisha Kama kweli uko fit
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu.Wakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.
Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.
Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.
Pole, nenda hospital kwa ajili ya check kujiridhisha zaidi, unaweza kuwa umepata Internal trauma au bleeding, sasa hivi huwezi kujua. Pole sanaWakuu nimenusurika katika ajari mbaya sana ya pikipiki. Nilikuwa nawahi job asubuhi. Nipo speed kama ya 80km/h hivi. Mara ghafla mbele yangu akakatiza ng'ombe mdogo.
Asee nimepita na huyo ndama chali palepale , mi mwenyewe huko, pikipiki kule. Kwa mashuda waliokuwepo pale walihisi nimezima pale pale.
Ila muujiza ulionipata ni kwamba dash board ya pikipiki yote nyang'anyang'a shok up hazitamaniki. Ila mm nipo physically fit,sina hata jeraha. Wala sihisi maumivu yoyote.