kidole007
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 3,094
- 1,877
Baasi
kuna tabaka la wasichana hapa mjini wengi wapo in their 20s,wanafikiri maisha ni kufanya starehe
mtoto wa kike unakesha baa, getting wasted kama wanaume
mtoto wa kike vijiwe vyote vya sheesha unavijua
Mbaya zaidi mtoto wa kike una sleep around tu na kila dume kama tunavyofanya wanaume
khaa eti ndio umjini au nini
ukijashtuka uko in early 30s unataka kuolewa nani atakuona gume gume na reputation yako
huko instagram tunawachora tuu mnavyojianika
mbaya zaidi hii syndrome imeanza kuwa epidemic kwa wanawake wasomii
tunao maofisini,
wanaume wengi they are not complaining including mimi kidole sabab tunabenefit na easy sex, ung'ang'anizi unapungua etc
But one thing for sure we'll have fun but i will never take u to my mama
take it slow starehe fanya but kwa kiwango cha mwanamke
kuna tabaka la wasichana hapa mjini wengi wapo in their 20s,wanafikiri maisha ni kufanya starehe
mtoto wa kike unakesha baa, getting wasted kama wanaume
mtoto wa kike vijiwe vyote vya sheesha unavijua
Mbaya zaidi mtoto wa kike una sleep around tu na kila dume kama tunavyofanya wanaume
khaa eti ndio umjini au nini
ukijashtuka uko in early 30s unataka kuolewa nani atakuona gume gume na reputation yako
huko instagram tunawachora tuu mnavyojianika
mbaya zaidi hii syndrome imeanza kuwa epidemic kwa wanawake wasomii
tunao maofisini,
wanaume wengi they are not complaining including mimi kidole sabab tunabenefit na easy sex, ung'ang'anizi unapungua etc
But one thing for sure we'll have fun but i will never take u to my mama
take it slow starehe fanya but kwa kiwango cha mwanamke