Girls nisaidieni kwa hili

Girls nisaidieni kwa hili

una pesa? maana mademu wa humu ni pesa kwanza! kama huna bora ingia mtasn kusaka humu hutopata!
 
Habar zenu wanadada wa jf, mimi napenda sana mdada mweupe ,asiye mfupi na pia asiye mnene sana. Ila bahat mbaya sijawahi pata. Kama yupo yyte wa sifa hizo humu ani PM as soon as possible.

Thank you in advance.

Ok wanakuja wenye sifa tajwa, subiri
 
Una sh ngapi nikupe wangu ambaye nimempata humu? Ana sifa ulizotaja, nimemtolea humu sasa sijui kama kuna mwingine atakuwa anafanana hvyo,
 
Back
Top Bottom