Uzee haubishi hodii..Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Mwanamke anayeuliza such stupid and unreasonable qn ni mpuuzi maana kwa kiasi kikubwa huwa lazima udanganywe tu.Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Nini menopause watu tumeshafika menostop na hatujaloose hope[emoji3]Menopause is around you..! Healthly birth giving is in between 20 to 35yrs.
Labda ukawazibue mirija ya maniiNahhh[emoji23]..wazee wapo watatuoa
Nyie vijana tu ndo mashauzi mengi
Bilashaka utakuwa umeokoka, wakati unanikataa ulidhani mimi ni looser [emoji23][emoji23][emoji23]Nini menopause watu tumeshafika menostop na hatujaloose hope[emoji3]
Unacheka[emoji23][emoji23] chezea pesa wanaume ila usicheze na umri utambue ni none renewable resources..[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] kuokoka kunahusika vipi na menostopBilashaka utakuwa umeokoka, wakati unanikataa ulidhani mimi ni looser [emoji23][emoji23][emoji23]
Bila shaka PM hakuna hako kaswali eeeh...Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Hivi kwanini hilo swali huwa linawakera sana wanaume?
Kwani ni vigumu sana mtu kujibu umepata wapi namba?
Wadada msipende kuuliza hilo swali bana,kwani mtu mpaka kapata namba yako weye hujui nn anataka/tafta kwako??Hivi kwanini hilo swali huwa linawakera sana wanaume?
Kwani ni vigumu sana mtu kujibu umepata wapi namba?
Hivi kweli unaachaje kuliuliza furushi limepataje namba yako[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Wengine kupata namba yako ni laana acha tu muulizwe. Namtaulizwa tu hata tukifika 50.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Itakua ushapata cha mbavu kutoka kwa mtu wa 1990
swali lain kam hili halihtj jibu gumu hua tunawajbu tumetoa voda shop[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kwa nini wanaume hawalipendi hili swali? Ni gumu kiasi hicho?
Siyo gumu, ila ni la kipuu.zi Sana.Hivi kwa nini wanaume hawalipendi hili swali? Ni gumu kiasi hicho?
unapiga dongo la ukweli ukwelii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sisi Wanaume ni forever Young. Yani tupo kama Pombe. Inavokaa muda mrefu ndo inazidi kuwa tamu [emoji1787][emoji1787]. Sasa waache waendelee kusema Namba yangu umetoa wapi. Watakaa hadi Nyonga Zifunge
muda mchache na unaenda kasi mbayaNa kama ilivyo ada muda nao ni mchache...
Bila shaka PM hakuna hako kaswali eeeh...
Wacha nijongee.