Girlfriend wangu wa zamani simuelewi

Girlfriend wangu wa zamani simuelewi

loykeys

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
1,175
Reaction score
911
Habari wana jamvi wa MMU.

Ni takribani miaka 4 kamili iliyopita nilipovunja uhusiano na aliyekuwa girlfriend wangu na kukatisha mawasiliano nae. Sababu ya mimi kubrake up nae ni alikuwa si mwaminifu so kuna ushahidi niliupata ambao ndo niliutumia kusitisha mahusiano nae.

Mwaka juzi nikapata habari kutoka kwa ndugu yake wa karibu kuwa Ex wangu amepata mchumba na anaolewa, na kweli akaolewa. Kwa upande wangu nikafarijika kuwa amepata mume na sasa atatulia.

Sasa last week nikiwa ofisini nikapokea simu ngeni kutoka kwa mwanamke niseyemfahamu alipojitambulisha alikuwa ni yule ex wangu akasema ametafuta contact zangu na amezipata kwa ndugu yangu wa karibu na sababu ya yeye kunipigia ni amenimiss na ana wish siku moja aje dar anione anisalimie.

Sasa wana jamvi mimi sitaki kurudisha ukaribu na huyu binti na isitoshe ni mke wa mtu na sitopenda kuwa na ukaribu nae but naona amezidisha kunipigia simu mara kwa mara kunijulia hali but sitaki kumfikiria vibaya lakini nimepata mashaka huu ukaribu anaoutengeneza sio mzuri kwa mustakabali wa ndoa yake.

Naombeni ushauri niendelee kuwasiliana nae tuu nione nia yake ni nini au nimpotezee.
 
Habari wana jamvi wa MMU. Ni takribani miaka 4 kamili iliyopita nilipovunja uhusiano na aliyekuwa girlfriend wangu na kukatisha mawasiliano nae. Sababu ya mimi kubrake up nae ni alikuwa si mwaminifu so kuna ushahidi niliupata ambao ndo niliutumia kusitisha mahusiano nae. Mwaka juzi nikapata habari kutoka kwa ndugu yake wa karibu kuwa Ex wangu amepata mchumba na anaolewa, na kweli akaolewa. Kwa upande wangu nikafarijika kuwa amepata mume na sasa atatulia.
Sasa last week nikiwa ofisini nikapokea simu ngeni kutoka kwa mwanamke niseyemfahamu alipojitambulisha alikuwa ni yule ex wangu akasema ametafuta contact zangu na amezipata kwa ndugu yangu wa karibu na sababu ya yeye kunipigia ni amenimiss na ana wish siku moja aje dar anione anisalimie. Sasa wana jamvi mimi sitaki kurudisha ukaribu na huyu binti na isitoshe ni mke wa mtu na sitopenda kuwa na ukaribu nae but naona amezidisha kunipigia simu mara kwa mara kunijulia hali but sitaki kumfikiria vibaya lakini nimepata mashaka huu ukaribu anaoutengeneza sio mzuri kwa mustakabali wa ndoa yake... Naombeni ushauri niendelee kuwasiliana nae tuu nione nia yake ni nini au nimpotezee.

Hebu tumia akili yako katika hilo,
 
Habari wana jamvi wa MMU. Ni takribani miaka 4 kamili iliyopita nilipovunja uhusiano na aliyekuwa girlfriend wangu na kukatisha mawasiliano nae. Sababu ya mimi kubrake up nae ni alikuwa si mwaminifu so kuna ushahidi niliupata ambao ndo niliutumia kusitisha mahusiano nae. Mwaka juzi nikapata habari kutoka kwa ndugu yake wa karibu kuwa Ex wangu amepata mchumba na anaolewa, na kweli akaolewa. Kwa upande wangu nikafarijika kuwa amepata mume na sasa atatulia.
Sasa last week nikiwa ofisini nikapokea simu ngeni kutoka kwa mwanamke niseyemfahamu alipojitambulisha alikuwa ni yule ex wangu akasema ametafuta contact zangu na amezipata kwa ndugu yangu wa karibu na sababu ya yeye kunipigia ni amenimiss na ana wish siku moja aje dar anione anisalimie. Sasa wana jamvi mimi sitaki kurudisha ukaribu na huyu binti na isitoshe ni mke wa mtu na sitopenda kuwa na ukaribu nae but naona amezidisha kunipigia simu mara kwa mara kunijulia hali but sitaki kumfikiria vibaya lakini nimepata mashaka huu ukaribu anaoutengeneza sio mzuri kwa mustakabali wa ndoa yake... Naombeni ushauri niendelee kuwasiliana nae tuu nione nia yake ni nini au nimpotezee.
Mgegede.piga freee p hiyo mme wake hawezi kugundua
 
Hivi, visa vingine mnaandika tu kuchangamsha jukwaa na kupoteza mda au ni kweli kabisa mtu anaomba ushauri serious??

Nami ngoja niombe ushauri hapa:
Jamani wana MMU wapendwa, mimi nimekula sana leo na ninahisi tumbo limevurugika, sasa hivi nimebanwa na mavi ambayo nahisi yatakua na mharo.
Niko kwenye kikao hapa ila naomba mnishauri. Je niende chooni au nijinyee hapa hapa tu? Maana naona kama nikijinyea hapa itakua aibu ila nasikia uvivu kwenda chooni.
Asante.
 
He! he! heeee! kweli Jf never bored!! wacha nicheke tu, niongeze siku za kuishi..!! hi.! hi.! hiiii...!!
 
Wewe umepanga kitu gani ??
 
Usimkatishe tamaa ila siku ingine akikupigia Simu mwambie hujanda kazini unaumwa sana kisha atajisogeza kwenye swali hili ..unaumwa nn? Mjibu Kwa swali kwani hujui? Then mwambie we ni mwathirika mwaka wa tatu Sasa so sometimes huwa unazidiwa sana ila umeishaikubali hiyo hali so inakusaidia kuishi Kwa matumaini...akiendelea zaidi ya hapo Hilo jini kaka delete kabisa.
 
Usimkatishe tamaa ila siku ingine akikupigia Simu mwambie hujanda kazini unaumwa sana kisha atajisogeza kwenye swali hili ..unaumwa nn? Mjibu Kwa swali kwani hujui? Then mwambie we ni mwathirika mwaka wa tatu Sasa so sometimes huwa unazidiwa sana ila umeishaikubali hiyo hali so inakusaidia kuishi Kwa matumaoni...akirndelea zaidi ya hapo Hilo jini kaka delete kabisa

Khaaaaaa..........:fencing:
 
Hivi, visa vingine mnaandika tu kuchangamsha jukwaa na kupoteza mda au ni kweli kabisa mtu anaomba ushauri serious??

Nami ngoja niombe ushauri hapa:
Jamani wana MMU wapendwa, mimi nimekula sana leo na ninahisi tumbo limevurugika, sasa hivi nimebanwa na mavi ambayo nahisi yatakua na mharo.
Niko kwenye kikao hapa ila naomba mnishauri. Je niende chooni au nijinyee hapa hapa tu? Maana naona kama nikijinyea hapa itakua aibu ila nasikia uvivu kwenda chooni.
Asante.

Hahahahaaaaaaaaaaa
 
Kama hutaki mzoeane mpotezee simple as that!! Unataka maziea na wake za watu hebu imagine angekua mkeo huyo ungejiskiaje
 
Mtu hakataiiiii wito.sikiliza ....alichokuitia... Halafu ndio utapa picha kamili anachotaka...
 
Hivi, visa vingine mnaandika tu kuchangamsha jukwaa na kupoteza mda au ni kweli kabisa mtu anaomba ushauri serious??

Nami ngoja niombe ushauri hapa:
Jamani wana MMU wapendwa, mimi nimekula sana leo na ninahisi tumbo limevurugika, sasa hivi nimebanwa na mavi ambayo nahisi yatakua na mharo.
Niko kwenye kikao hapa ila naomba mnishauri. Je niende chooni au nijinyee hapa hapa tu? Maana naona kama nikijinyea hapa itakua aibu ila nasikia uvivu kwenda chooni.
Asante.

Hahahahhahaha!! Umetisha sana
 
Mhh wanaume wachache sana siku hizi wengi ni watoto wa kiume
 
Wewe mtu mzima unajua nini unatakiwa kufanya.
 
Hivi, visa vingine mnaandika tu kuchangamsha jukwaa na kupoteza mda au ni kweli kabisa mtu anaomba ushauri serious??

Nami ngoja niombe ushauri hapa:
Jamani wana MMU wapendwa, mimi nimekula sana leo na ninahisi tumbo limevurugika, sasa hivi nimebanwa na mavi ambayo nahisi yatakua na mharo.
Niko kwenye kikao hapa ila naomba mnishauri. Je niende chooni au nijinyee hapa hapa tu? Maana naona kama nikijinyea hapa itakua aibu ila nasikia uvivu kwenda chooni.
Asante.

jinyee wangu looo
 
Back
Top Bottom