Sasa wana oa wanawake wenye watoto ni wa ngese pia? Jamaa kamkuta demu ana mimba tayari, wewe ulitakaje? AITOE? Basi hata wanaume wanaokuta demu anaemtaka ana mtoto wamuue huyo mtoto au vipi?
Sasa wana oa wanawake wenye watoto ni wa ngese pia? Jamaa kamkuta demu ana mimba tayari, wewe ulitakaje? AITOE? Basi hata wanaume wanaokuta demu anaemtaka ana mtoto wamuue huyo mtoto au vipi?
So bora umemkuta na mtoto ni uamuzi wako kumwambia sitaki kukaa na huyu mtoto au lah sasa unaoa mwenye mimba huu ndo ujinga mwenzio kakujazia alafu unatoka kifua mbele eti nitaitwa baba Kwa mimba ya Mme mwenzio!!!