Girlfriend wangu kanitongozea rafiki yake.

Hahahah we jamaa bana eti pua pana, alikua kisu lakin? au umekariri pua ndefu za kitutsi ndo wanakua wazuri pekee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sehemu sijaelewa hapo juu umesema ilikua night kali halafu ulikua na gari ukawarudisha makwao akiwemo huyo Anna, sasa inakuaje unamuuliza gilfriend wako kwamba Anna alifika salama? Wakati ni wewe uliempeleka? Utanisamehe hua nasoma vitu kwa makini kidogo...embu fafanua vizuri hio script naona kuna sehemu kama vile unafeli...
 
Inaonyesha uu fisi sana na kalitambua hilo gf wako, kibuti kinakuita.

Ila huyo Anna naye mbandue tuu haviachi alama

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuhh ... inshort jamaa mtoa mada na demu wake wote ni mafisi ...wajua mafisi huwaga wana mioyo migumu kama mahindi makavu ... yaani wakiumia nikidogo tu then wanapoteza ... haiwezekani demu asiwe fisi halafu awe na guts za kiasi hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paragraph ya tatu Mwisho inakuhudu...


Ova..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamkosea Sana Gf wako ,amefanya hivyo out of hasira as why ulimspot Anna pekeAke Kati ya rafiki zake wengine afu bado unamuongelea ongelea!!!
Inshort girl wako kafanya out hasira na sio kwamba hakupendi sababu inachukiza Sana kuona boyfriend wako amekeep an eye Kwa rafiki yako inakera
Na Huyo Anna ni mwehu anajua Kabsa mahusiano yenu ila bado tu na yeye anajipendeza, for a humble girl hata Kama ingekua Jeni anamuunganisha Kwa kakayake, Anna lazima angesubir huyo Kaka amuanze na sio kuanza kupiga lisimu na mwaliko juu khaaaa

Pole sana ukiachika Kisa Anna, she's not typa girl to keep for a serious relationship .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 7 january ifike haraka,ili shule zifunguliwe na hawa wanafunzi warudi mashuleni Jf ipumue kwa muda.Maana hizi ni kero sana,upo nyumbani kwa baba na mama,umekula ugali wa wazazi na kushiba halafu unapata nguvu za kuandika hizi hadithi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…