Girlfriend wangu kanitongozea rafiki yake.

Kwahiyo bado unaamini Jeni ni girlfriend wako??
Mkuu Jeni hakupendi ndio mana kakuweka kwa Anna. Naongea kama expert wa kuhamisha magoli nikitongozwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kitu ipo wakuu,miaka ya nyuma nilikuwa namgegeda dem mmoja hivi jirani yangu anaitwa Pamela (kwa sasa ni askari polisi) aliwahi niunganishia madem kama watatu nikawala na nikiwa na genye nikimuomba ananipa namgegeda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakupendii ila unamridhisha kitandani. Mwanamke akikupenda lazima atakuonea wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbinu za kitoto za wadada eti anakupima km anampenda au vipi. Mimi nilifanyiwa hivyo na mamsap wakati huooo! Shida aliyenigonganisha nae dah sio type zangu kabisa. Eti anapanga kidate wanakuja wote halafu anajifanya kaitwa na dada yake anatuacha na Mimi na rafikiye. Mie zangu Watoto wa kitusi dizaink zile yeye anaenda kunigongesha kwa mbantu mwenzangu wote sura paaana pua zetu zinafanana hahaha. Nikamtext niko home na rafiki yako weeee alimpigia simu akataka kujua tuko wapi. Hee bidada akashangaa. Sasa wengine huwa wanaunga wanatafuna tuu
 
vuruga wote........ mwalim kashasha anakwambia “escallated deep cline angle with aerial mist” [emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tulia na mpenzi wako hata kama unataka kuchapa demu mwingine bora jitaftie ww siyo mpenzi wako ndo akutaftie.
Hapo anataka akuone tu ulivo na tamaa.
Au huenda amekuchoka so anakutaftia sabb tu ya kuachana na ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…