Mremaaa
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 293
- 325
Nawasalimu sana wana jukwaa, itifaki imezingatiwa!
Ni mara kadhaa nimekuja hapa kuomba ushauri juu ya mahusiano yangu yalikuwa na utofauti mkubwa " Ikumbukwe utofauti unapokuwa mkubwa katika mahusiano, na panapokuwa na tofauti zisizorekebishika hakuna mahusiano na hatimaye ndoa pia hukosekana"
Mara ya mwisho niliomba ushauri hapa mwezi Nov 2017 (kama sikosei) na niliufanyia kazi, mwisho niliamua kuachana na Mahusiano ambayo hayakuwahi kunipa utulivu na amani kwa sababu tu ya tofauti na kutokuelewana panapostahili kurekebishana"
I have been alone for almost 4 months now!!, nafurahi kuwa single ila sasa kuna vitu nakosa especially Love, romantic care, na wakupanga naye maisha ya baadaye!!
Nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo!
1. Awe mkristo wa dini yeyote ila asiwe mlokole na kama ni Muslim awe tayari kunifuta (Mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu), maana naamini ndoa ni ibada na msingi bora wa watoto wetu baadaye.
2. Awe na uwezo mkubwa wa kupambanua mambo (critical thinker)
3. Elimu yeyote kikubwa awe msikivu kwangu na awapende ndugu zangu na wazazi wangu (mwenye kutambua jukumu lake, mama katika familia na mwenye kutumia nafasi yake vizuri "anapokuwa kazini ni kazini anapokuwa nyumbani ni mama kwangu na kwa watoto wetu " sio kuwa akiwa na majukumu ya ofisi hawezi kuyamalizia akiwa nyumbani") (Asiwe mwenye kazi zenye shift (zamu) za usiku)
4. Age below 28 Mweusi au maji ya kunde kwa rangi, urefu (155-160 CM).
5. Awe na uwezo wa kustahimili vipindi mbalimbali vya maisha.
Kiufupi kuhusu mim:-
1.Mkristo (RC)
2.Ni mwajiriwa
3.Mweupe kwa rangi.
4.Urefu 166 CM
5 . Age Early 30's
Naomba kuwasilisha kwa wenye sifa karibuni PM. Tuanzee maisha life span inazidi kupungua kila uchwao!!
Asante sana poleni kwa kuwachosha!
Ni mara kadhaa nimekuja hapa kuomba ushauri juu ya mahusiano yangu yalikuwa na utofauti mkubwa " Ikumbukwe utofauti unapokuwa mkubwa katika mahusiano, na panapokuwa na tofauti zisizorekebishika hakuna mahusiano na hatimaye ndoa pia hukosekana"
Mara ya mwisho niliomba ushauri hapa mwezi Nov 2017 (kama sikosei) na niliufanyia kazi, mwisho niliamua kuachana na Mahusiano ambayo hayakuwahi kunipa utulivu na amani kwa sababu tu ya tofauti na kutokuelewana panapostahili kurekebishana"
I have been alone for almost 4 months now!!, nafurahi kuwa single ila sasa kuna vitu nakosa especially Love, romantic care, na wakupanga naye maisha ya baadaye!!
Nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo!
1. Awe mkristo wa dini yeyote ila asiwe mlokole na kama ni Muslim awe tayari kunifuta (Mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu), maana naamini ndoa ni ibada na msingi bora wa watoto wetu baadaye.
2. Awe na uwezo mkubwa wa kupambanua mambo (critical thinker)
3. Elimu yeyote kikubwa awe msikivu kwangu na awapende ndugu zangu na wazazi wangu (mwenye kutambua jukumu lake, mama katika familia na mwenye kutumia nafasi yake vizuri "anapokuwa kazini ni kazini anapokuwa nyumbani ni mama kwangu na kwa watoto wetu " sio kuwa akiwa na majukumu ya ofisi hawezi kuyamalizia akiwa nyumbani") (Asiwe mwenye kazi zenye shift (zamu) za usiku)
4. Age below 28 Mweusi au maji ya kunde kwa rangi, urefu (155-160 CM).
5. Awe na uwezo wa kustahimili vipindi mbalimbali vya maisha.
Kiufupi kuhusu mim:-
1.Mkristo (RC)
2.Ni mwajiriwa
3.Mweupe kwa rangi.
4.Urefu 166 CM
5 . Age Early 30's
Naomba kuwasilisha kwa wenye sifa karibuni PM. Tuanzee maisha life span inazidi kupungua kila uchwao!!
Asante sana poleni kwa kuwachosha!